Leo nimepiga mwanamke

Leo nimepiga mwanamke

Nimejifunza kitu ktk maisha ya ndoa itakapo fika mahala mke au mme heshima imeanza kutoweka ujue mapenzi na upendo miongoni mwenu umeanza kutoweka.

Inahitaji akili sn kudeal na hali km hii kupigana sio solution.

Brother kaa na mkeo muulize kitu kimoja tu mwambie be free usiumize moyo upendo unao kwang, sababu hatuwez kuishi pamoja ili hali mwezangu huna upendo na mm .

Nibora nusu shari kuliko shari kamili.
 
Jamaa yangu kanisimulia



:=> Kwa asili mimi ni kurya lakini modern one....nimekua tangu utoto mpaka umri huu katika famili yenye upendo na amani.
Pamoja na wazazi wangu wote kuwa wakurya haijawah kutokea baba akanyanyua mkono wake kumwadhibu mama hata wakati mwingine nilipoona mama anakosea na alipaswa kuadhibiwa.

Kutoka na upendo wa baba nilijikuta na mimi nikijiwekea malengo ya kutonipiga mwanamke wangu kabisa maana baba alishaniambia kupiga sio suluhisho la matatizo

Baada ya kuoa nimeamua kuwa na tabia kama ya baba.....mpole na mpenda familia yangu....nimefanya hayo ili niwe na happy family kama ya baba yangu

Kwa siku za karibun mke wangu amekuwa na kiburi sana jaman.....ananijibu kunya na sometime anafikia kunitukana mbele za watoto na hata wageni.

Nimeshamkanya sana anahid kubadilika lakini binti wa kichaga huyu kadri siku zinavyosonga ndo anazidi kuwa matatizo

Kwa bahati mbaya sipendi kabisa mambo ya kusuruhishwa kwa sababu naamin mnapakuwa wamoja basi ni vizur mkigombana mnayamaliza wenyewe na sio kila mtu ajue...kwa maana hiyo sijawahi peleka shitaka kwa mtu yoyote yule.
Jana usiku amerudi sa tano usiku na kunikuta nishawapikia watoto wamekula wamelala

Akanikuta sebulen naangalia tv huku namsubiri....nilipomuuliza kiupole kuwa ametoka wapi? Muda huo

Alinijibu vibaya sana ambavyo hata siwez kuelezea....nilijikuta nafukuta kwa hasira za ndani ila nikajicontrol na kwenda kulala

Sasa tatizo akaja chumbani na kuendelea kunitolea lugha chafu....mpaka akafikia kunitukania wazazi....nilijikuta hasira imenishika sana nikampiga kofi moja mpaka akalamba ardhi.

Alipoinuka akaja ili tupambane....aiseee nilimpiga kipigo cha mbwa mwizi maana nilipokuwa nikitaka tuache kupigana ye nd anazidisha

Mpaaka sasa kalala analia tu hata uwezo wa kuamka hana.

Kiukweli nashindwa cha kufnya maana hata akienda kushtaki sina cha kujitetea maana sijawah ripoti mabadiliko yake kwa yoyote..


Nishaurini nifanyeje? Na bado nampenda?

Zingatia sio kwa sababu ni mkurya ndo maana nimepiga hapana hata ungekuwa wewe ungefikia nilipofikia


Tumpe ushaur wakuu atausoma
Baadhi ya wanawake wa Kichaga wakishapata watoto na anakipato basi mume huna lolote tena kwake.

Tumekuwa tukisimuliwa na wazee wetu. Huenda yanatimia kupitia ndoa yako. Pole sana ila nakupongeza kwa kushinda mapigano ila kifo ki mlangoni mwako
 
Usiseme anastahili kipondo... jiulize kwann anachepuka wakati hakua Na tabia hiyoo?? Inaonekana ameanza mda si mrefu. Labda mwanaume ndo tatizo. there must be a very big reason behind

Kuwa mpole siyo Ndiyo sababu ya kuifanya ndoa kuwa Salama ,
Hii inategemea aina ya mwamke wengine unavyo kuwa mpole wanakuona mjinga na atataka akupande mpka kichwani .
Unatakiwa kuwa hujulikani tabia yako kwa mwanamke ili asikuletee dharau .
Na Kama unaona mvutano mkubwa Kwenye ndoa afadhali mwache unaweza pandwa hasira ukaishia jela na kuacha Watoto wakipata shida.
Pia Kama mwanamke wako kakuzidi kipato huwa tatizo ndani ya ndoa siyo wote ila walio wengi nalo liangalie.
Pole mkuu
 
Baadhi ya wanawake wa Kichaga wakishapata watoto na anakipato basi mume huna lolote tena kwake.

Tumekuwa tukisimuliwa na wazee wetu. Huenda yanatimia kupitia ndoa yako. Pole sana ila nakupongeza kwa kushinda mapigano ila kifo ki mlangoni mwako
Ndio umeandika nini?
 
Swala hapo kaka ni upendo na heshima juu yako hilo ndicho kitu cha msingi, swala la mkeo kuchepuka ni kitu kingine kabisa usi umize kichwa sabab ya kufikiria laabda mkeo anachepuka
 
Au mkeo ndio anahudumia familia kwa kiasi kikubwa?? ndio maana yupo hivo mara nyingi wanawake viburi vyao vinashamiri ikiwa nayeye ana ka mshahara so anajiona hakutegemei ndio maana anakujibu hovyo kila mara,lakin pia kumuonya sio vibaya japo inaonekana umempiga sana next time bro usimpige mkeo kama ulivyompiga.Mfano ngumi za usoni,ubavuni mateke ni mbaya sana.
 
bado unampenda,unapikia watoto...
unafanya kazi???????

hongera ya huyo dada anapendwa mpaka anatukanana na mwanaume
wengine amri moja tu...
 
Mkuu be proactive .
  • Ita wazazi wa pande zote kabla taarifa ya tukio haijatoka nje.
  • Ask her for forgiveness in front of them . Do not make it about yourself kwa kutoa excuse to justify what happened.
  • Hopefully, she accepts your apology maana kwa wanawake wengine (kama sisi ) kupigwa ni deal breaker!.
  • Msamaha ukisha kubalika , kabla watu hawajatawanyika omba udhuru kuwa unajambo la nyongeza. Then bring up all the ongoing issues ili wawashauri how to best cope.
Side note: History has shown if a man hits a woman once he will hit her again! Kwa kuwa umesha break the ceiling, moving forward itabidi utumie nguvu za ziada kulishinda hilo shetani la kupiga!
 
Mkuu wala usihofu akiamka peleka hospitali akatibiwe.Wanawake ukiwalea na kuwaheshimu wanataka wakukalie kichwani na hasa kukutukana hii si sawa.Nafikiri amepata hicho kiburi mahali sina hakika kama ni kwa BF wake mpya au kipato kimeongezeka na kumpa kiburi.Ulichofanya ni sawa mkuu wa nyumba ni baba na sio mama ,akileta mapambano zaidi mpige kikao cha watu wawili wewe na yeye na umweleze mipaka yake kama mama.
 
Mwanamke wa kichaga kupigwa siku Moja moja sio. Mbaya.... ila sio rahisi aondoke nyumbani kwani wanapenda watoto wao sana.... Otherwise ebu niambie ni mchaga wa wapi coz wakiboso sio wanojua kujibu sanaaa kama hao wachaga wapende zingine
 
Letting GO!

Haya ni maneno ambayo tangu niambiwe 2010 nayaheshimu sana. Niliambiwa na mentor wangu.

LET GO TO GET MORE.

Letting go doesn't mean you don't love her.

From my own experience: Wakati nilipoanza kumjibu mpenzi (sijaoa bado) wangu vibaya au kumuonesha dharau yoyote ni dhahiri sikuwa nimemweka moyoni mwangu.
 
Mwanaume ndo anakipato kikubwa maana anamiliki biashara na mkewe kamfungulia duka la vifaa vya ujenzi
Mwanamke ameonyesha kiburi cha hali ya juu..
Kwanza,ni kutaka kupigana na mume wake..
Pili,kumtukania mume wake wazazi wake..
Tatu,ameshindwa kuheshimu nyenyekevu wa mume wake..
Kutokana na Uhuru alionao wa kurudi na kukuta baba amepika na kuogesha watoto,amejiona tayari yeye ni baba..i.e kichwa cha familia..

Hivyo basi anastahili kwenda kwao kupumzika kidogo..pia kuelekezwa mwanaume ni mtu wa namna gani..

Huyoo ndugu yako yampasa kupunguza upole..ukiwa mpole Sana hawa watacheza mpira kwa kichwa yako!!
 
Sasa hapo mambo ya wanaume wa dar yanaingiaje mkuu? Kama huna cha kucoment sina unapita Kmya
Humu hatutakiwi kutoa povu mkuu, maana hili umelileta mwenyewe.
Ebu ngoja niishie hapa aiseeee...
 
Umefanya vizuri sana kutembeza kichapo. Ndoa yako na ya wazazi wako ni vitu viwili tofauti na treatment ya wake lazima iwe tofauti. Huyo siku nyingine akijibu ovyo mtandike tena ili aelewe kabisa kuwa upepo umeshabadirika na umweleze kabisa kuwa siku ukigundua anachepuka unamtenganmisha kichwa na mwili atashika adabu kudadeki sometimes inabidi nguvu ya ziada itumike ili kutetea familia yako.
 
Au mkeo ndio analihudumia familia kwa kiasi kikubwa?? ndio maana yupo hivo mara nyingi wanawake viburi vyao vinashamiri ikiwa nayeye ana ka mshahara so anajiona hakutegemei ndio maana anakujibu hovyo kila mara,lakin pia kumuonya sio vibaya japo inaonekana umempiga sana next time bro usimpige mkeo kama ulivyompiga.Mfano ngumi za usoni,ubavuni mateke ni mbaya sana.
Jamaa ndo mhimili wa uchumi wao na kamfungulia mkewe kaduka
 
Yani hawa wenzetu wakipata mbadala huko nje ni shida sana wanashindwa kabisa kuwa normal na haswa ukute anasuguliwa vizuri unaweza temewa hata mate.,
 
Hata kama usingekuwa mkurya kwa tabia ya huyo mwanamke lazima ungempiga tuu.
 
Back
Top Bottom