exceptional lady
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 332
- 248
Kati yako na mkeo ni yupi anapata kipato kikubwa??..maana nimeona wewe ndio wapika..!
Katika hali ya kawaida kabisa huyo mkeo ana kajamaa kake nje ndio kanafanya hadi wewe unadharaulika..

Kati yako na mkeo ni yupi anapata kipato kikubwa??..maana nimeona wewe ndio wapika..!
Katika hali ya kawaida kabisa huyo mkeo ana kajamaa kake nje ndio kanafanya hadi wewe unadharaulika..

Baadhi ya wanawake wa Kichaga wakishapata watoto na anakipato basi mume huna lolote tena kwake.Jamaa yangu kanisimulia
:=> Kwa asili mimi ni kurya lakini modern one....nimekua tangu utoto mpaka umri huu katika famili yenye upendo na amani.
Pamoja na wazazi wangu wote kuwa wakurya haijawah kutokea baba akanyanyua mkono wake kumwadhibu mama hata wakati mwingine nilipoona mama anakosea na alipaswa kuadhibiwa.
Kutoka na upendo wa baba nilijikuta na mimi nikijiwekea malengo ya kutonipiga mwanamke wangu kabisa maana baba alishaniambia kupiga sio suluhisho la matatizo
Baada ya kuoa nimeamua kuwa na tabia kama ya baba.....mpole na mpenda familia yangu....nimefanya hayo ili niwe na happy family kama ya baba yangu
Kwa siku za karibun mke wangu amekuwa na kiburi sana jaman.....ananijibu kunya na sometime anafikia kunitukana mbele za watoto na hata wageni.
Nimeshamkanya sana anahid kubadilika lakini binti wa kichaga huyu kadri siku zinavyosonga ndo anazidi kuwa matatizo
Kwa bahati mbaya sipendi kabisa mambo ya kusuruhishwa kwa sababu naamin mnapakuwa wamoja basi ni vizur mkigombana mnayamaliza wenyewe na sio kila mtu ajue...kwa maana hiyo sijawahi peleka shitaka kwa mtu yoyote yule.
Jana usiku amerudi sa tano usiku na kunikuta nishawapikia watoto wamekula wamelala
Akanikuta sebulen naangalia tv huku namsubiri....nilipomuuliza kiupole kuwa ametoka wapi? Muda huo
Alinijibu vibaya sana ambavyo hata siwez kuelezea....nilijikuta nafukuta kwa hasira za ndani ila nikajicontrol na kwenda kulala
Sasa tatizo akaja chumbani na kuendelea kunitolea lugha chafu....mpaka akafikia kunitukania wazazi....nilijikuta hasira imenishika sana nikampiga kofi moja mpaka akalamba ardhi.
Alipoinuka akaja ili tupambane....aiseee nilimpiga kipigo cha mbwa mwizi maana nilipokuwa nikitaka tuache kupigana ye nd anazidisha
Mpaaka sasa kalala analia tu hata uwezo wa kuamka hana.
Kiukweli nashindwa cha kufnya maana hata akienda kushtaki sina cha kujitetea maana sijawah ripoti mabadiliko yake kwa yoyote..
Nishaurini nifanyeje? Na bado nampenda?
Zingatia sio kwa sababu ni mkurya ndo maana nimepiga hapana hata ungekuwa wewe ungefikia nilipofikia
Tumpe ushaur wakuu atausoma
Usiseme anastahili kipondo... jiulize kwann anachepuka wakati hakua Na tabia hiyoo?? Inaonekana ameanza mda si mrefu. Labda mwanaume ndo tatizo.there must be a very big reason behind
Ndio umeandika nini?Baadhi ya wanawake wa Kichaga wakishapata watoto na anakipato basi mume huna lolote tena kwake.
Tumekuwa tukisimuliwa na wazee wetu. Huenda yanatimia kupitia ndoa yako. Pole sana ila nakupongeza kwa kushinda mapigano ila kifo ki mlangoni mwako
Mwanamke ameonyesha kiburi cha hali ya juu..Mwanaume ndo anakipato kikubwa maana anamiliki biashara na mkewe kamfungulia duka la vifaa vya ujenzi
Humu hatutakiwi kutoa povu mkuu, maana hili umelileta mwenyewe.Sasa hapo mambo ya wanaume wa dar yanaingiaje mkuu? Kama huna cha kucoment sina unapita Kmya
Jamaa ndo mhimili wa uchumi wao na kamfungulia mkewe kadukaAu mkeo ndio analihudumia familia kwa kiasi kikubwa?? ndio maana yupo hivo mara nyingi wanawake viburi vyao vinashamiri ikiwa nayeye ana ka mshahara so anajiona hakutegemei ndio maana anakujibu hovyo kila mara,lakin pia kumuonya sio vibaya japo inaonekana umempiga sana next time bro usimpige mkeo kama ulivyompiga.Mfano ngumi za usoni,ubavuni mateke ni mbaya sana.