Ununio haipo huko mkuu,,,,ipo kule mbele ya Ledger hotel /Bahari beachRound about ya kupanda kawe sasa kunyoooka mbelembele huko kuna magorofa kibao yanajengwa..
Ni kupambana tu mkuu ila inahitaji umakini sana maanake Mungu hapendi mtu anayetafuta mafanikio kwa njia zisizo halali na pia anayetafta mafanikio ya haraka pia kwahiyo umakini unahitajika.Yaani leo nikiwa town nafanya fujo na kijigari cha ndugu yang kiji-RAV4 cha ndugu yangu, si haba kinanisaidia napatapata magoma mjini Mungu ni mwema,
Sasa nikatoka kuchimba somewhere chaka moja, namkwara mkubwa mara ghafla nikaona mdada mdogo kabisa umri wa kuwa mdogo wangu mara kazamia lile chaka na MNYAMA HUU HAPA CHINIView attachment 613178View attachment 613179
Niseme ukweli nimejihisi baridi ghafla na huyu mdada anavyolipiga lesi hili dudu kanitia hasira sana, hatua ya kwanza lazima ni angalau niliendeshe kulimiki ni majaliwa ya Mungu..! Nimejihisi uchungu mkubwa sana.
Range rover g wagon ndo gari gani?Hata mm Leo wakati naenda kazini nimepanda Costa sijapata seat nikiwa nimeshikilia bomba tulipofika mataa gari ikasimama pembeni ikapaki range rover g wagon i kiwa na kadada ambaye umri Hawez zidi miaka 25 asee nimejidharau sana
Asante kwa marekebisho ila ujue sijaoa mkuu na sina mchumba..! Hivyo ni harakati tu za kusaka mke but siyo mzinzi kiivyo boss!Ni kupambana tu mkuu ila inahitaji umakini sana maanake Mungu hapendi mtu anayetafuta mafanikio kwa njia zisizo halali na pia anayetafta mafanikio ya haraka pia kwahiyo umakini unahitajika.
Ila umebugi sana kutaja jina la Mungu katika uovu "napatapata magoma mjini Mungu ni mwema", hapa umekosea sana!
Kama ile ya manji Google utaipata ndo latest versionRange rover g wagon ndo gari gani?
Poor you! Hamna toleo la range rover liitwalo g wagon! Kama hujui magari its better ukae kimya tu kuliko kujifanya mjuaji....yaani unafananisha mercedes benz g wagon na range rover which are two different manufacturers...Kama ile ya manji Google utaipata ndo latest version
Halafu wewe si ndo nakuonaga kule kwenye mtandao flani iv unatafuta majimama yakuhonge,na email yako kabisa unaweka hyo hyo ya tajirimsomiKama ile ya manji Google utaipata ndo latest version
,dah kwel serenget boy mna shida sanaOkUsinitie moyo mkuu!
Iyo simu ukiuza si unapata techno, Baiskeli na chenchi inabaki!Sinafuu wewe hata unakijigar cha ndugu yako! mwenzio sina hata baskel! bado nalisongesha!! ila sijakataa tamaa!
Usijali sana mkuu mbona wote mnatembea mkiwa mmekaa!hapo tofauti ni body tu,jipe moyo..Yaani leo nikiwa town nafanya fujo na kijigari cha ndugu yang kiji-RAV4 cha ndugu yangu, si haba kinanisaidia napatapata magoma mjini Mungu ni mwema,
Sasa nikatoka kuchimba somewhere chaka moja, namkwara mkubwa mara ghafla nikaona mdada mdogo kabisa umri wa kuwa mdogo wangu mara kazamia lile chaka na MNYAMA HUU HAPA CHINIView attachment 613178View attachment 613179
Niseme ukweli nimejihisi baridi ghafla na huyu mdada anavyolipiga lesi hili dudu kanitia hasira sana, hatua ya kwanza lazima ni angalau niliendeshe kulimiki ni majaliwa ya Mungu..! Nimejihisi uchungu mkubwa sana.
Mimi siku zote nasema ukitaka kumpatia mtoto wako zawadi nzuri sana basi kama una uwezo mhamishe akulie nje ya Tanzania ili awe na IQ nzuri na free mind! Sidhani hata elimu (kama akisomea Bongo) itasaidia sana kwani hata huyu mwanzisha thread pengine ni mhitimu wa chuo kikuu lakini upeo wake wa kuchanganua mambo ndio huu! Hilo gari ulinunua ili ushindane na watu kuwaonyesha ''umwamba'' wako? Kwanini ukiona mtu mwenye gari zuri/ la bei kuliko lako unyong'onyee? Hujiamini? Mimi nadhani binadamu unatakiwa kuwa na malengo na kujitahidi kuyafikia na si kufanya mashindano ya kijinga kama haya!Yaani leo nikiwa town nafanya fujo na kijigari cha ndugu yang kiji-RAV4 cha ndugu yangu, si haba kinanisaidia napatapata magoma mjini Mungu ni mwema,
.