Leo nimekubali kweli maishani hatulingani

Kuwa mdada na wewe utaliendesha hata kulimiliki pia dont worry,mateso tuachie sisi wanaume.
hahaha .......kwahiyo unamshauri aanze kuvaa siketi na brauzi .......kweli atahongwa ata zaidi ya hammer old model
 
Hata mm Leo wakati naenda kazini nimepanda Costa sijapata seat nikiwa nimeshikilia bomba tulipofika mataa gari ikasimama pembeni ikapaki range rover g wagon i kiwa na kadada ambaye umri Hawez zidi miaka 25 asee nimejidharau sana
umejidharau kwalipi? badili jinsia utapata Maisha mtelemuka......avoid cheap mind plz.
 
Hata ukitaka Rolls-Royce "Ghost" utapata ni wewe tu ukipambana na hali yako
Man's minds have no limit, only man himself limit it.
GO!!!!!!!!! and get it
Hii misemo ya kwenye vitabu ni kujipa moyo,ila wakati mwingine unaona kabisa hapa hata nifanyeje sitoboi.
Mfano rahisi tu, unafikiri hapo ulipo unaweza kuwa ama kumzidi Dangote..!??

Hapo lazima ukiri kuwa kila mmoja ana ukomo wake.
 
Maisha hayawezi kuwa sawa hata wewe hapo Kuna mtu mwenye Baiskeli anatamani hyo rav 4
Akikuona nayo

Ova
 
Hii misemo ya kwenye vitabu ni kujipa moyo,ila wakati mwingine unaona kabisa hapa hata nifanyeje sitoboi.
Mfano rahisi tu, unafikiri hapo ulipo unaweza kuwa ama kumzidi Dangote..!??

Hapo lazima ukiri kuwa kila mmoja ana ukomo wake.



Where I am now! from where I used to be, why not??
 
Where I am now! from where I used to be, why not??
It doesn't matter, the issue is limits are there whether you accept or not. If I asks why you are there and not where you wish,I don't think if you can give tangible answer away from the term limits.
 
Maisha hayawezi kuwa sawa hata wewe hapo Kuna mtu mwenye Baiskeli anatamani hyo rav 4
Akikuona nayo

Ova
Ndiyo, hivyo maisha kabla ya kufa kuwa na ndoto nyingi uwezavyo zitakoma siku umekufa mkuu.
 
Mkuu, kujidharau ni kujiona juhudi unazofanya hazijatosha hivyo lazima kuongeza juhudi.
Kwa mtu kuendesha gari unajidharau hat a hujui background yake shida na chagamoto anazo pata unaanza kujidharau hivhivi plz avoid to be cheap. usione watu wana cruissing.......look behind the curtain
 
Ndiyo, hivyo maisha kabla ya kufa kuwa na ndoto nyingi uwezavyo zitakoma siku umekufa mkuu.
Wanadamu tunafanana siku ya kufa tu uwe tajiri,maskini etc wote Tunazikwa kwenye udongo mmoja ambao unafanana

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom