Emmanuel_Adam14
JF-Expert Member
- Dec 25, 2015
- 670
- 742
Hali uliyokuwa nayo ni matokeo ya maamuzi yako!!
Hata mimi siupendi kama nini.Hivi wana maana gani hawa?pambana na hali yako MSEMO SIUPENDI HUU
Weka malengo kisha kaza buti kuyafikia.Utafanikiwa.Yaani leo nikiwa town nafanya fujo na kijigari cha ndugu yang kiji-RAV4 cha ndugu yangu, si haba kinanisaidia napatapata magoma mjini Mungu ni mwema,
Sasa nikatoka kuchimba somewhere chaka moja, namkwara mkubwa mara ghafla nikaona mdada mdogo kabisa umri wa kuwa mdogo wangu mara kazamia lile chaka na MNYAMA HUU HAPA CHINI View attachment 613178View attachment 613179
Niseme ukweli nimejihisi baridi ghafla na huyu mdada anavyolipiga lesi hili dudu kanitia hasira sana, hatua ya kwanza lazima ni angalau niliendeshe kulimiki ni majaliwa ya Mungu..! Nimejihisi uchungu mkubwa sana.
Tamaa zilimfanya mshikaji fulani kuwa gay so chunga sanaYaani leo nikiwa town nafanya fujo na kijigari cha ndugu yang kiji-RAV4 cha ndugu yangu, si haba kinanisaidia napatapata magoma mjini Mungu ni mwema,
Sasa nikatoka kuchimba somewhere chaka moja, namkwara mkubwa mara ghafla nikaona mdada mdogo kabisa umri wa kuwa mdogo wangu mara kazamia lile chaka na MNYAMA HUU HAPA CHINI View attachment 613178View attachment 613179
Niseme ukweli nimejihisi baridi ghafla na huyu mdada anavyolipiga lesi hili dudu kanitia hasira sana, hatua ya kwanza lazima ni angalau niliendeshe kulimiki ni majaliwa ya Mungu..! Nimejihisi uchungu mkubwa sana.
Mimi siku zote nasema ukitaka kumpatia mtoto wako zawadi nzuri sana basi kama una uwezo mhamishe akulie nje ya Tanzania ili awe na IQ nzuri na free mind! Sidhani hata elimu (kama akisomea Bongo) itasaidia sana kwani hata huyu mwanzisha thread pengine ni mhitimu wa chuo kikuu lakini upeo wake wa kuchanganua mambo ndio huu! Hilo gari ulinunua ili ushindane na watu kuwaonyesha ''umwamba'' wako? Kwanini ukiona mtu mwenye gari zuri/ la bei kuliko lako unyong'onyee? Hujiamini? Mimi nadhani binadamu unatakiwa kuwa na malengo na kujitahidi kuyafikia na si kufanya mashindano ya kijinga kama haya!
Wanaume wafupi wanaongoza kwa kupenda warefu sio siri ni sheedaAchana na huyu mdudu, ni sawa na demu mrefu hajawahi kuboa mwanaume ata kama kijanaume ni kianduje kinapenda demu twiga aka taifa star.
Bora ungeandika kwa mapesa yetu ya mafafu pesa ya Trump inauma aisei..MKUU MBONA SO ISHU SANA, NIKUJIPANGA TU NA KUPUNGUZA STAREHEE
KUNAI HII HAPA KAMA VIPI JIPANGE UKUSANYE DOLLAR 17, 763/= HIYO NIMPAKA BONGO
Specific information
VIN (Vehicle Identification Number) /Serial No.
ADMDN13E684422***
Full VIN/Serial No. will be shown on Proforma Invoice and Invoice
Model Code T345F
Registration Year / Month 2008
Mileage 107,000 km
Transmission Automatic
Engine Capacity (Displacement) 3,700cc
Fuel Gasoline/Petrol
BodyStyle1 Unspecified
BodyStyle2 -
Steering Unspecified
Exterior Color Other
Interior Color -
Drive Type -
Door -
Number of Seats -
Dimension 471cm×200cm×192cm=18.09m³
Condition Used
ID 2146423-832357
Remarks (Any Problems) -
Comment -
Expiry Date Nov / 27 / 2017 (JST)
pambana na hali yako MSEMO SIUPENDI HUU
Huhuhu..! Unakera kusema kweli sometime hasa ukiambiwa na huku vyuma vimekaza..!