Leo nimekubali kweli maishani hatulingani

Leo nimekubali kweli maishani hatulingani

Even the bible doesnt agree with this...


We can read the same thing but its entirely up to you to uncode the contents to lead you a desired destination
 
Yaani leo nikiwa town nafanya fujo na kijigari cha ndugu yang kiji-RAV4 cha ndugu yangu, si haba kinanisaidia napatapata magoma mjini Mungu ni mwema,

Sasa nikatoka kuchimba somewhere chaka moja, namkwara mkubwa mara ghafla nikaona mdada mdogo kabisa umri wa kuwa mdogo wangu mara kazamia lile chaka na MNYAMA HUU HAPA CHINI View attachment 613178View attachment 613179

Niseme ukweli nimejihisi baridi ghafla na huyu mdada anavyolipiga lesi hili dudu kanitia hasira sana, hatua ya kwanza lazima ni angalau niliendeshe kulimiki ni majaliwa ya Mungu..! Nimejihisi uchungu mkubwa sana.

Mkuu pambana na hali yako!!!!
 
Hata mm Leo wakati naenda kazini nimepanda Costa sijapata seat nikiwa nimeshikilia bomba tulipofika mataa gari ikasimama pembeni ikapaki range rover g wagon i kiwa na kadada ambaye umri Hawez zidi miaka 25 asee nimejidharau sana
 
Hata mm Leo wakati naenda kazini nimepanda Costa sijapata seat nikiwa nimeshikilia bomba tulipofika mataa gari ikasimama pembeni ikapaki range rover g wagon i kiwa na kadada ambaye umri Hawez zidi miaka 25 asee nimejidharau sana
Huhuhuhuh..! Kumbe jina lako halisadifu undani wako kumbe ata miye naweza kunyang'anya demu...! pole jamaa yangu utani ila inauma sana sometime mtu huwezi kumiliki ata IST..
 
Na kweli maisha hatulingani. Kama wewe ndoto yako ni kudrive hilo dudu, hakika maisha hayalingani.
Mkuu ukitamani kidogo utakosa kabisa..! Bora utake mengi upewe kidogo au mengi ikibidi..
 


Its true!!! my brother, think of a man who invent a car, an aeroplane, a computer or Barakah Obama if they would compare their minds to a rope.

This people had dream, then they allowed their mind to travel to their desired destination(dream) and come back

Then they start to engineer it into a reality, they did not set a limitation into their thinking, NO!!!!!!!!
 
Huhuhuhuh..! Kumbe jina lako halisadifu undani wako kumbe ata miye naweza kunyang'anya demu...! pole jamaa yangu utani ila inauma sana sometime mtu huwezi kumiliki ata IST..
Hahaha linasadifu ila sijawai miliki range mkuu ist Siwezi endesha napenda magar marefu m daladala napanda mara moja moja mkuu
 
halafu unakuta kuna mtu haoni hata aibu gari kama hiyo imepark sehemu naye anaenda kuegesha pembeni ki gari chake PASSO. watu wameumbwa bila mishipa ya aibu kabisa.
Cha muhimu wote tunakula AC mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom