FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Sawa, tumeshajua na wewe unapanda gari
Hiyo Hammer n i ya Masoud Kipanya wa Clouds FM, na alipaka hiyo rangi kwa sababu ya mapenzi yake kwa klabu ya Yanga.Yaani leo nikiwa town nafanya fujo na kijigari cha ndugu yang kiji-RAV4 cha ndugu yangu, si haba kinanisaidia napatapata magoma mjini Mungu ni mwema,
Sasa nikatoka kuchimba somewhere chaka moja, namkwara mkubwa mara ghafla nikaona mdada mdogo kabisa umri wa kuwa mdogo wangu mara kazamia lile chaka na MNYAMA HUU HAPA CHINI View attachment 613178View attachment 613179
Niseme ukweli nimejihisi baridi ghafla na huyu mdada anavyolipiga lesi hili dudu kanitia hasira sana, hatua ya kwanza lazima ni angalau niliendeshe kulimiki ni majaliwa ya Mungu..! Nimejihisi uchungu mkubwa sana.
Maisha sio fair siku zote..Pole mkuu
Najiuliza nini unajaribu kubisha sijakuelewa??? Ameongelewa aliyekuwa analiendesha au Huyo Masoud hawezi kuwa na mke au ndugu wa kuliendesha..!Hiyo Hammer n i ya Masoud Kipanya wa Clouds FM, na alipaka hiyo rangi kwa sababu ya mapenzi yake kwa klabu ya Yanga.
Huo ni uongo, haiyo gari haimilikiwi na mwanamke, na ipo moja tu ya rangi hiyo hapa Bongo.
Njoo na stoy ingine
Mkuu jifikirie wewe ya wengine yatakupasua kichwa boss..!! Dream big always!Hebu fikiri. Kuna mtu leo leo kaandika humu kuwa analo hitaji la 700thou za kwenda kuondolewa utumbo umeharibika. Anategemewa na mtoto,mke na mama mzazi. Halafu ni kibarua. Hana akiba. Tunajua wazi kuwa mtaji wa kibarua ni kuamka asubuhi ufukuzane kwa miguu. Sasa hapa kuna mtu anakufuru kuwa Rav4 sio gari, kuna siku atalirurusha li Hummer. Dah! Huyu muumba alikosea wapi hapa?? Si angemnyang'anya huyu aso na shukrani aliuze ampe huy mhitaji wa 700thou na albaki ampe za kuitunza familia yake wakati wanamhudumia kitandani ili apone haraka?? Kweli Life is not fair at all.
Mkuu jifikirie wewe ya wengine yatakupasua kichwa boss..!! Dream big always!
Hiyo fair unayoililia ikiwepo ujue hakuna uhitaji tena, and everything it will be valueless and no more needs..!The problem is not to dream, Hakuna mwenye ndoto nyingi kama maskini. Ila tumesema, Nature is not fair. Wadhani huyu mtu anayeomba msaada haoti ndoto?? Hata msaada alioomba nao ukienda leo atakueleza njozi atakazofanya endapo ataupata huo msaada. My cry here is; Nature, why are yu not fair??
soma maelezo yako ua awali pengine hujui hata ulichokiandika..Najiuliza nini unajaribu kubisha sijakuelewa??? Ameongelewa aliyekuwa analiendesha au Huyo Masoud hawezi kuwa na mke au ndugu wa kuliendesha..!
ni kweli kabisa mkuuHebu fikiri. Kuna mtu leo leo kaandika humu kuwa analo hitaji la 700thou za kwenda kuondolewa utumbo umeharibika. Anategemewa na mtoto,mke na mama mzazi. Halafu ni kibarua. Hana akiba. Tunajua wazi kuwa mtaji wa kibarua ni kuamka asubuhi ufukuzane kwa miguu. Sasa hapa kuna mtu anakufuru kuwa Rav4 sio gari, kuna siku atalirurusha li Hummer. Dah! Huyu muumba alikosea wapi hapa?? Si angemnyang'anya huyu aso na shukrani aliuze ampe huy mhitaji wa 700thou na albaki ampe za kuitunza familia yake wakati wanamhudumia kitandani ili apone haraka?? Kweli Life is not fair at all.
It doesn't matter, the issue is limits are there whether you accept or not. If I asks why you are there and not where you wish,I don't think if you can give tangible answer away from the term limits.
Good u talk like a man ...though u are a ladyHata ukitaka Rolls-Royce "Ghost" utapata ni wewe tu ukipambana na hali yako
Man's minds have no limit, only man himself limit it.
GO!!!!!!!!! and get it
Nothing is impossible the word itself say i'm possible, keep going mkuu you only fail when you quit.Ndiyo mkuu! Ila nitakubali baada ya kushindwa aisei..!