Leo nimeingia YouTube na kutafuta "Mauaji Arusha". Aisee bila ya udhibiti maalum wa Kipolisi hapo Arusha visu vitaendelea sana

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,399
4,264
uhuni, ubabe, bangi na ujeuri ni vitu vinvyokuwa glorified sana Arusha.

Uhai wa mtu ni very cheap sana
huko Arusha.

Kwa sisi tuliosoma miaka hiyo maeneo ya kanda ya kaskazini tunaelewa jinsi vijana wa kutoka Arusha walivyokuwa na desturi ya kujikuta gangstas and thugs.

Hakuna wanachoambulia huko kwa kuthamini maisha ya u-gangsta zaidi ya kufanyika matokeo ya umwagaji damu sana.

Kuna wakati wilaya Tarime ilikuwa ni kama pango la ujambazi na vita za koo lakini kanda maalum polisi ili pambana hadi leo Tarime ni ya amani basi hivyo hivyo ifanyike hapo Arusha katika usimamizi mkuu.

Lakini pia cha msingi zaidi ni kuanzia ngazi ya familia na jamii. Watoto wengi wa Arusha wanakuwa na kukuzwa katika misingi ya kihuni sana kupelekea kutokuwa na hofu ya kufanya unyama wowote ule maishani.
 
Kuna Arusha flani nayoijua Vs Arusha ya JF


Miaka hii hamna cha thugs wala majambazi...hayo mambo yalifanyika kipindi hiko Kuna wahuni kutoka mererani, wengine kutoka Kenya ndo walikua wanapiga matukio
 
Kuna Arusha flani nayoijua Vs Arusha ya JF


Miaka hii hamna cha thugs wala majambazi...hayo mambo yalifanyika kipindi hiko Kuna wahuni kutoka mererani, wengine kutoka Kenya ndo walikua wanapiga matukio
Hawajuagi hao wanaish kwa stor za magazet lakin arusha uhalifu umepungua sana
 
We kwanin u search mauaji ya Arusha
Same question I was asking myself na hata hao youtubers wanajua watu wengi wanapenda negative news kuhusu arusha
Kwanini asitafute mauaji njombe, iringa au geita ambayo ndio kila siku inaongoza
 
Back
Top Bottom