Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,561
Mbona mamlaka ya utabiri ilisema hakutakua na mvua
Hata jambazi ama mzinifu huwa anamwomba Mungu na bado akapewa akiombacho.Bagamoyo inanyesha sasa.
Sheikh ponda amesema tuondoe dhulma kwanza Sasa sijui hyo dhulma imeshaondolewa?.
"ALLAH ANASEMA NIOMBENI NITAWAJIBUNI"
na hakusema ondoeni kwanza dhulma ndo NITAWAJIBUNI.
Tubuni mtumishi.Mtumishi mbona huku nilipo mvua haijanyesha tangu juzi?