johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,599
- 141,415
- Thread starter
- #41
October!Sawa, Mvua za Vuli zinaanzaga mwezi gani mkuu.
October!Sawa, Mvua za Vuli zinaanzaga mwezi gani mkuu.
Huyu ndo mzee nyamaume?
NakupendaNdiooo
Huyo ni mhasishaji ibada huko Misungwi, Kolomije kwa kina Paul Makonda a.k.a DAUDI ALBERT BASHITEHuyu ndo mzee nyamaume?
Sambamba na kuomba ni lazima tupambane dhidi ya uharibifu wa mazingira ili nature aliyoumba Mungu iendelee kuwepo.Amina mkuu, ila kwanini kuomba mvua kipindi hiki wakati tunajua kabisa nimsimu wa mvua, kwanini hatuombi mwezi wa 8 ama wa 7 na wa 9.
Mungu ni msikivu Amen Dominica njemaMungu ni mwema wakati wote.
Yesu akawauliza " ni yupi kwenu mwanae akimwomba samaki atampa nyoka? au akimwomba mkate atampa jiwe basi ikiwa ninyi mlio waovu mwajua kuwapa watoto wenu vilivyo vyema je si zaidi Baba yetu wa mbinguni atawapa ninyi!"
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Nawatakia Dominica ya kwanza ya Majilio yenye Baraka!
Unasemea ile miti mil 3 kukatwa Selous kupisha mradi umeme?Sambamba na kuomba ni lazima tupambane dhidi ya uharibifu wa mazingira ili nature aliyoumba Mungu iendelee kuwepo.
Mvua inajitengeneza kutukana na mazingira maalumu, yasipokuwepo ni shida.
Basi tujipe kazi ya utetezi wa mazingira na kisha tuombe
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Amen!Mungu ni msikivu Amen Dominica njema
Mkuuu mie nilikuelewa kwa upana sana mkuuu ila asante kwa nyongezaNaona hujielewi hata wewe mwezi wa 7,8 na 9 mazao huwa yameshakomaa kipindi Cha kuvuna kwa hiyo unataka watu wapige maombi mvua inyeshee yaliyotayari kuvunwa yaharibike? Fikiria mahindi,mpunga nk umeshakomaa wa kuvuna halafu unaitia mvua inyeshee! Mambo ya maombi achia wanaojua
Inakisiwa eneo lililokatwa miti selous lina ukubwa wa almost Dar es salaam.Unasemea ile miti mil 3 kukatwa Selous kupisha mradi umeme?
Mvua inanyesha kwa sababu ni msimu wake umefika na wala si kwa sababu ya maombi ya shekheBagamoyo inanyesha sasa.
Sheikh ponda amesema tuondoe dhulma kwanza Sasa sijui hyo dhulma imeshaondolewa?.
"ALLAH ANASEMA NIOMBENI NITAWAJIBUNI"
na hakusema ondoeni kwanza dhulma ndo NITAWAJIBUNI.
Huku kwetu ilinyesha ijumaa na Jana jumamosiMungu ni mwema wakati wote.
Yesu akawauliza " ni yupi kwenu mwanae akimwomba samaki atampa nyoka? au akimwomba mkate atampa jiwe basi ikiwa ninyi mlio waovu mwajua kuwapa watoto wenu vilivyo vyema je si zaidi Baba yetu wa mbinguni atawapa ninyi!"
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Nawatakia Dominica ya kwanza ya Majilio yenye Baraka!
Mbweni wingu ni zito sana!
Kiazi mbatata.Mvua inanyesha kwa sababu ni msimu wake umefika na wala si kwa sababu ya maombi ya shekhe
mwezi wa 11 Kuna msimu gani was mvua?Mvua inanyesha kwa sababu ni msimu wake umefika na wala si kwa sababu ya maombi ya shekhe
Mungu huyatambua mahitaji ya wana wake hata kabla ya maombi. Hatakubali wema wachache waangamie kwa sababu ya wengi waovu. Yeye huwanyeshea wema na wabaya.Mungu ni mwema wakati wote.
Yesu akawauliza " ni yupi kwenu mwanae akimwomba samaki atampa nyoka? au akimwomba mkate atampa jiwe basi ikiwa ninyi mlio waovu mwajua kuwapa watoto wenu vilivyo vyema je si zaidi Baba yetu wa mbinguni atawapa ninyi!"
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Nawatakia Dominica ya kwanza ya Majilio yenye Baraka!
Sijui Kama watakuelewa Hawa MÀTAGA.Amina mkuu, ila kwanini kuomba mvua kipindi hiki wakati tunajua kabisa nimsimu wa mvua, kwanini hatuombi mwezi wa 8 ama wa 7 na wa 9.
Mtumishi mbona huku nilipo mvua haijanyesha tangu juzi?Mungu ni mwema wakati wote.
Yesu akawauliza " ni yupi kwenu mwanae akimwomba samaki atampa nyoka? au akimwomba mkate atampa jiwe basi ikiwa ninyi mlio waovu mwajua kuwapa watoto wenu vilivyo vyema je si zaidi Baba yetu wa mbinguni atawapa ninyi!"
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Nawatakia Dominica ya kwanza ya Majilio yenye Baraka!
Leta tuisugue mpaka Moshi utoke ,dawa ya moto ni motoTena hapa nimeamka nina moto wa kusuguliwa balaa