Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,292
- 6,341
Nakutakia dominika njema mkuu,ngoja namimi nijiandae.Amina!
Tunaiomba kwa sababu ilichelewa sana.
Nakutakia dominika njema mkuu,ngoja namimi nijiandae.Amina!
Tunaiomba kwa sababu ilichelewa sana.
Naona hujielewi mwezi wa 7,8 na 9 mazao huwa yameshakomaa kipindi Cha kuvuna kwa hiyo unataka watu wapige maombi mvua inyeshee yaliyotayari kuvunwa yaharibike? Fikiria mahindi,mpunga nk umeshakomaa wa kuvuna halafu unaitia mvua inyeshee! Mambo ya maombi achia wanaojuaAmina mkuu, ila kwanini kuomba mvua kipindi hiki wakati tunajua kabisa nimsimu wa mvua, kwanini hatuombi mwezi wa 8 ama wa 7 na wa 9.
Naona hujielewi hata wewe mwezi wa 7,8 na 9 mazao huwa yameshakomaa kipindi Cha kuvuna kwa hiyo unataka watu wapige maombi mvua inyeshee yaliyotayari kuvunwa yaharibike? Fikiria mahindi,mpunga nk umeshakomaa wa kuvuna halafu unaitia mvua inyeshee! Mambo ya maombi achia wanaojuaGreat Thinker
kweli watu tuna hasirasana.Anza ww kwenda kumfungulia mashtaka.ikulu sio mahali pa walanguzi na madalali, na wataka shortcut huku wakiliumiza taifa .jpm haya Mambo aliyachukia kwa nguvu zote!!ona ss kinachotokea ,japo tunajua kweli viatu ni vikubwa kwake lkn asitumie hk kisingizio kuliteketeza taifa ,na kuwachekea wahuni au kugonga cheers nao !!huu uhuni kila mwananchi mwenye hasira dhidi ya wahuni wanaoliteketeza hili taifa akemee vikali ,bila kumuinea muhuni yeyote haya!!ifikie wakati tunyooshane kwa kupeana ukweli ,unafiki NO !!
Tabora mzigo unashika wiki sasa.Tunashukuru kwa kututakia dominika njema. Ila hii habari ya mvua kunyesha kila kona ya nchi imekaa ki uwongo zaidi.
Sawa, Mvua za Vuli zinaanzaga mwezi gani mkuu.Naona hujielewi mwezi wa 7,8 na 9 mazao huwa yameshakomaa kipindi Cha kuvuna kwa hiyo unataka watu wapige maombi mvua inyeshee yaliyotayari kuvunwa yaharibike? Fikiria mahindi,mpunga nk umeshakomaa wa kuvuna halafu unaitia mvua inyeshee! Mambo ya maombi achia wanaojua
Zikichelewa kuanza on time Ndio watu wanaomba mvua sababu wengi hulima kabla na kuweka mbegu au Miche aridhini Sasa ikichelewa hasara wanayopata sio ndogoSa
Sawa, Mvua za Vuli zinaanzaga mwezi gani mkuu.
Hujajibu swali.Zikichelewa kuanza on time Ndio watu wanaomba mvua sababu wengi hulima kabla na kuweka mbegu au Miche aridhini Sasa ikichelewa hasara wanayopata sio ndogo
Wewe ukiwa sio mkulima mnunua tu vyakula gengeni Huwezi elewa maana ya mvua kuchelewa maana yake nini
Jibu weweHujajibu swali.
Wewe utakua shehe ubwabwa..wazee wa dhuluma..utaendaje mbele za Mungu kuomba mibaraka ukiwa umejaa dhulma na dhambi.?Bagamoyo inanyesha sasa.
Sheikh ponda amesema tuondoe dhulma kwanza Sasa sijui hyo dhulma imeshaondolewa?.
"ALLAH ANASEMA NIOMBENI NITAWAJIBUNI"
na hakusema ondoeni kwanza dhulma ndo NITAWAJIBUNI.
Mungu angekuwa anaangalia madhambi tunayo tusingekuwepo duniani leo,tusingepata hata chakula Wala pumzi.Wewe utakua shehe ubwabwa..wazee wa dhuluma..utaendaje mbele za Mungu kuomba mibaraka ukiwa umejaa dhulma na dhambi.?
#MaendeleoHayanaChama
Mbona morogoro hakunaMungu ni mwema wakati wote.
Yesu akawauliza " ni yupi kwenu mwanae akimwomba samaki atampa nyoka? au akimwomba mkate atampa jiwe basi ikiwa ninyi mlio waovu mwajua kuwapa watoto wenu vilivyo vyema je si zaidi Baba yetu wa mbinguni atawapa ninyi!"
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Nawatakia Dominica ya kwanza ya Majilio yenye Baraka!
Sukuma gang wamevurugwa baada ya kusikia DAB yuko kilengeoni sasa wanatoa mapovu hata sehemu isiyohusikakweli watu tuna hasirasana.
Mkuu unachangia uzi huu huu wa mvua ama umepotea
NdioooUnataka uje utuletee?
Salini ndugu!Mimi nipo Dodoma na hapa nipo kwenye gari nimepitia Wilaya 3 za Dodoma ambazo ni Mpwapwa, Kongwa kwa Ndugai na Chamwino pia. Hakuna hata tone 1 la mvua. Sio leo tu, bali ni tangu msumu ulipoisha Mwezi April. Labda kama utuambie kuwa Dodoma si sehemu ya nchi unayoizungumzia. Acha ku-generalize mambo kirahisi hivyo.
Wengine wanachomokaz kwa madhambi yaozMungu angekuwa anaangalia madhambi tunayo tusingekuwepo duniani leo,tusingepata hata chakula Wala pumzi.
Ila kwa kuwa yeye NI MUNGU mlezi wa viumbe vyote.ndo maana watu wabaya wanadunda tu
Mbona haujatuambiaSisi wakulima tunaangalia mvua kupitia AccuWeather tulijua mvua zipo kuanzia tarehe 26/11 mpaka 8/12,na ksho ipo kubwa tu
Mungu ni mwema wakati wote.
Yesu akawauliza " ni yupi kwenu mwanae akimwomba samaki atampa nyoka? au akimwomba mkate atampa jiwe basi ikiwa ninyi mlio waovu mwajua kuwapa watoto wenu vilivyo vyema je si zaidi Baba yetu wa mbinguni atawapa ninyi!"
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Nawatakia Dominica ya kwanza ya Majilio yenye Baraka!