t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 6,410
- 14,875
Kulikuwa na double standards nyingi sana kwenye utawala wakeWe rest tu iyo case tu maana hamna namna....japo nakuwaga against trait za Magu ila katika hili Magu alazwe pema peponi.
Kuna wengi walitumbuliwa na kuna wengi pia waliendelea kubaki kazini pamoja na ushahidi kuwa wana vyeti feki
Vyeti feki lingekuwa fair lingeondoka na wenye phd fake pia .
Sitampa credit yoyote kwa swala la vyeti feki.