Latifaa
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 501
- 257
Yaani mapenzi sijui ni nini hata. Nimekuwa na mpenzi wangu kwa muda tunapendana na tuna mipango mingi. Nimeridhika naye sana sijawahi kuwaza kuwa ipo siku nitamsaliti.
Kuna kaka tunafahamiana muda kama miaka minne hivi kwenye mambo ya kazi na huwa tunaheshimiana sana. Kuna kazi fulani nilikuwa namsaidia mara kwa mara kishikaji tuu, cha kunishangaza huyu kaka kaanza kunitokea.
Nilimkatalia katakata nilijitahidi kumuonyesha sitamkubalia hata kwa dawa kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia kama ndugu kabisa. Kweli nimeamini hakuna urafiki wa hivihivi kati ya mwanaume na mwanamke. Huyu kaka aliendelea kunisumbua bila kukata tamaa hatimae niliingia line.
Kwakweli hata kule kumgomea ilikuwa ni roho ngumu tuu maana ni mkaka mwenye sifa zote za mwaunaume. Wacha mahusiano yetu yaanze mambo yakawa moto nikajikuta nimefall in love hatari sio kwa kunicare kule. Sio mtonyo sio malavidavi nilipagawa naye kwakweli na ametokea kunipenda mno jamani nami namkubali mno amenichanganya sana.
Kinachoniuma nimeanza kufeel vibaya kwamba namsaliti mpenzi wangu japo bado nampenda huyu kijana sana tena sana.
Nawaza nimuache au nijikaushe tuu niwe nao wote?
Kuna kaka tunafahamiana muda kama miaka minne hivi kwenye mambo ya kazi na huwa tunaheshimiana sana. Kuna kazi fulani nilikuwa namsaidia mara kwa mara kishikaji tuu, cha kunishangaza huyu kaka kaanza kunitokea.
Nilimkatalia katakata nilijitahidi kumuonyesha sitamkubalia hata kwa dawa kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia kama ndugu kabisa. Kweli nimeamini hakuna urafiki wa hivihivi kati ya mwanaume na mwanamke. Huyu kaka aliendelea kunisumbua bila kukata tamaa hatimae niliingia line.
Kwakweli hata kule kumgomea ilikuwa ni roho ngumu tuu maana ni mkaka mwenye sifa zote za mwaunaume. Wacha mahusiano yetu yaanze mambo yakawa moto nikajikuta nimefall in love hatari sio kwa kunicare kule. Sio mtonyo sio malavidavi nilipagawa naye kwakweli na ametokea kunipenda mno jamani nami namkubali mno amenichanganya sana.
Kinachoniuma nimeanza kufeel vibaya kwamba namsaliti mpenzi wangu japo bado nampenda huyu kijana sana tena sana.
Nawaza nimuache au nijikaushe tuu niwe nao wote?