Leo najihisi "guilty" sana moyoni

Leo najihisi "guilty" sana moyoni

Nauhakika hyo wa pili baada ya kumuacha wa kwanza miezi sita ni mingi atakuacha sasa hapo ndo utatujua wanaume tukoje utatomb...Sha ww mpaka hio kitu itaota sugu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mapenzi sijui ni nini hata. Nimekuwa na mpenzi wangu kwa muda tunapendana na tuna mipango mingi. Nimeridhika naye sana sijawahi kuwaza kuwa ipo siku nitamsaliti.

Kuna kaka tunafahamiana muda kama miaka minne hivi kwenye mambo ya kazi na huwa tunaheshimiana sana. Kuna kazi fulani nilikuwa namsaidia mara kwa mara kishikaji tuu, cha kunishangaza huyu kaka kaanza kunitokea.

Nilimkatalia katakata nilijitahidi kumuonyesha sitamkubalia hata kwa dawa kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia kama ndugu kabisa. Kweli nimeamini hakuna urafiki wa hivihivi kati ya mwanaume na mwanamke. Huyu kaka aliendelea kunisumbua bila kukata tamaa hatimae niliingia line.

Kwakweli hata kule kumgomea ilikuwa ni roho ngumu tuu maana ni mkaka mwenye sifa zote za mwaunaume. Wacha mahusiano yetu yaanze mambo yakawa moto nikajikuta nimefall in love hatari sio kwa kunicare kule. Sio mtonyo sio malavidavi nilipagawa naye kwakweli na ametokea kunipenda mno jamani nami namkubali mno amenichanganya sana.

Kinachoniuma nimeanza kufeel vibaya kwamba namsaliti mpenzi wangu japo bado nampenda huyu kijana sana tena sana.

Nawaza nimuache au nijikaushe tuu niwe nao wote?
Hata mwiko ukipikiwa ukimaliza waoshwa kisha wapikia tena...jisevie mama midushe yoote yako(in Sumbula voice)
 
Hii mada inanifundisha kuwa mwanamke kukataa mwanaume anayemtongoza ni kama haiwezekani. Hata akiwa mgumu vipi kinachohitajika ni juhudi, maarifa na kutokukäta tamaa. Ukiweza hayo utampata tu hata awe mke wa nani.
 
Hapo sio tu unamsaliti mpenzi wa mwanzo naona unataka kumuua kwa maradhi ya ukimwi,kwanini umfanyie hivo?! Kwa nini umuue?! mwache uendelee na kujifurahisha.
 
Leo ule msemo wa ''umetema big G kwa karanga za kuonjeshwa'' umepata mahala pake!
 
Huyo wa pili kakupimia kakuona wewe kiazi ndio maana kakaza, mpk umeachia.
 
Hakunaga urafiki wa paka na panya,siku 1 paka atatamani tuu kumtafuna panya
Hata asipo tamani basi siku 1 panya atamjaribu tu paka atamchezea sharubu na mkia wake ilimrad tuu paka akasirike
Napaka atamtafuna panya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakua hakunaga moyo mmoja unaopenda watu wawili ,na ili ww ndo usichakazwe zaidi .....3 sentences

Achana na wakwanza

Endelea na wapili

Kwasababu hukumpenda wa kwanza .


UPDATES

nmepitia nyuzi za mtoa mada ,nmegundua mambo makubwa matatu.

mwanaume mwenye ID yakike...Au
ni mtunzi wa stori...... Au
ni Sukubasi (In Mshana JR's Uzi waleo)


ACHEN KUJIPINDA KUANDIKA MAANDIKO MAREFU YENYE KUTUKANA,KUSHAURI WALA NN..MNAPOTEZA MUDA WENU !!

uzi mwema !!
Ukisema Sukubasi mie huku mbaaaaavu Sina!!
Mshana Jr unaitwa huku
 
Throw dirt on me...and I'll grow a wild flower.
FB_IMG_1531043400092.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jilie vyombo bana.
Usitafute justifications, UMECHEAT KWA SABABU UMEAMUA KUCHEAT.
oh wanaume sio watu,ALIKUBAKA?
oh najiskia guilty Leo,AKIJA UNAACHIA VIZUR TU,sasa una guilty gani?
oh nampenda wa kwanza,USINGEMPENDA WA PILI.
moyo haugawanyiki asee!!

Shida ni huwa mnaamini Mwanamke HAACHI.
muache huyo wa kwanza endelea na wa pili.
TUSICHOSHANE NA MASWALI SIJUI USHAURI.
nah!nah!!
 
Ilo ni penzi jipya lazma uone kama unapendwa sanaaa ila baada ya mda utazoea na kujiona mjinga kwa unachokifanya. Ata biblia imeandika huwezi kuwa na mabwana wawili, lazima utaambatana na huyu na kumuacha yule. Penzi la huruma litakuponza dada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom