Latifaa
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 501
- 258
- Thread starter
- #61
hatufanyi kazi ofisi moja ila kuna vitu tunashare kikazi tunasaidianaYaniii kudate na MTU unaefanya nae kazii ni zaidi ya sumuu....!! Utamkosaa huyoo uliekuwa nae kwa muda mrefuu na huyo wa kazini akishakukulaa tuuu yanii HUTAMUONAAA TENAAA....!! poleee Sana maana unajichimbia kaburiii lakoo mwenyewee
Sent using Jamii Forums mobile app

???????
