Leo najihisi "guilty" sana moyoni

Leo najihisi "guilty" sana moyoni

hahaha wanaume kwakugonga wake za watu mnaona haki mkigongewa wenu mitusi inawatoka ila latifaa wewe kiboko japo kupendrwaaa rahaa sana jamani
 
Huyu kaka kila nikitaka kumuhakikishia nina mtu wangu hataki hata kunielewa tunaheshimiana nasipendi watu wanatuzunguka wajue maana naona kama hawataamini ila wanaume sio watu jamani sikutegemea kabisa mimk
acha una wewe! pole yako
 
Huyu kaka kila nikitaka kumuhakikishia nina mtu wangu hataki hata kunielewa tunaheshimiana nasipendi watu wanatuzunguka wajue maana naona kama hawataamini ila wanaume sio watu jamani sikutegemea kabisa mimk
wanaume anamilikije Id ya kike
 
Yaniii kudate na MTU unaefanya nae kazii ni zaidi ya sumuu....!! Utamkosaa huyoo uliekuwa nae kwa muda mrefuu na huyo wa kazini akishakukulaa tuuu yanii HUTAMUONAAA TENAAA....!! poleee Sana maana unajichimbia kaburiii lakoo mwenyewee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama walivyosema wenzangu tu, maisha ni yako na papuchi ni yako
 
Mwenye namba yangu anipigie simu 'aseme nina emergency nahitajika haraka sehemu ' Nimekutana na mtu wa Forever huwa namheshimu sana nashindwa kumkimbia jamani anaongea hadi nasikia kizunguzungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom