Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,646
- 4,489
1000 kavuta milio mia tatu kasoroAiseeeee hapa nakufa then nafufuka hapo hapo dah mungu huyu
1000 kavuta milio mia tatu kasoroAiseeeee hapa nakufa then nafufuka hapo hapo dah mungu huyu
Ahaaa hivi hakuna mganga wa kubet?1000 kavuta milio mia tatu kasoro
Akuna mkuu hiyo ni bahati yako tuAhaaa hivi hakuna mganga wa kubet?
Dah hii bahati sio ya dunia hiiAkuna mkuu hiyo ni bahati yako tu
Kuna yule mkenya alitembea billion 4.8 za sport pesa alivyoitwa kuchukua akashikwa na kiweweDah hii bahati sio ya dunia hii
Duh, mkuu hizo timu zenye odd 1.06 n.k huwa zinachana zenyewe tunimekosa mil198 ambapo huo mkeka nimeutoa mara 5 nikiwa na maana ingekuwa mil990..timu iliyoniuwa ina odd 1.06
Hadi kesho utakuwa umeshapata pesa yakoAISEE sorry mkuu hibi huku premier ukitoa pesa inachukua mda gan mpk upate maana nmetoa asubuh mpk saa hz kimya, mi mgeni premier nlijaribu tu upepo huku
Ni mkeka mmoja huo, zimebaki timu 4 tu nipige 71K kwa tsh 200 tu.Wazee wa probability, mimi nimefikia hapo,nisaidieni nifanyej ili hizo 4 zilizobaki zisinikoseshe pesa.View attachment 834616View attachment 834617
aisee! sawa mkuu asanteHadi kesho utakuwa umeshapata pesa yako
subiria mkuu, mi jna alibaki barcelona tu kwe mikeka km minne yaan nliku ncheki game sevilla wakapata penati dk ya 89 bahati nzuri wakakosa......saivi nasubiri tu wantumie pesa yangu ikifik naipitiliza kwe bank account yangu kabisaaNi mkeka mmoja huo, zimebaki timu 4 tu nipige 71K kwa tsh 200 tu.View attachment 834667
mpesa inakama buku 5 nitest zali nipe na majibu kabisa au kugelezeana hairuhusiwi?Ngoja nikuwekee kitu hapa
Ikifikia stage hii kuna namna ya kucheza na hesabu kujihakikishia ushindi, hesabu hiyo itapunguza kiasi utakachopata endapo mambo yataenda kama ulivyo bet au kukuokoa kutoka mikono mitupu endapo timu mojawapo wa zilizobaki zitakuchania mkeka.subiria mkuu, mi jna alibaki barcelona tu kwe mikeka km minne yaan nliku ncheki game sevilla wakapata penati dk ya 89 bahati nzuri wakakosa......saivi nasubiri tu wantumie pesa yangu ikifik naipitiliza kwe bank account yangu kabisaa
Haha polee....karibu kwa mafundi tz nzimaSanaaaaa toka juzi sina raha
Ohooooo sasa sio mchezo kubeti hvyooo ebu ona hapo chungulia kidogo upate mwangazampesa inakama buku 5 nitest zali nipe na majibu kabisa au kugelezeana hairuhusiwi?
kumbe kuna mahesabu mkuu?ndo maana kipanga wa betting mtaa mzima ana mapeni mengi kwa maelezo nayosikiaaga wakiongea jamaa mkali wa betting eti mikono yake ina baraka sema kwake kuna foleni ngoja nikomae na hazard cfcIkifikia stage hii kuna namna ya kucheza na hesabu kujihakikishia ushindi, hesabu hiyo itapunguza kiasi utakachopata endapo mambo yataenda kama ulivyo bet au kukuokoa kutoka mikono mitupu endapo timu mojawapo wa zilizobaki zitakuchania mkeka.
NimekaribiaHaha polee....karibu kwa mafundi tz nzima
Hahaha kama wew nikibonge basi huu mchezo unakufanya kimbaumbau ndani ya miez miwilinifundisheni aisee sina nalolijua ukute hizo million 99o za Norshad zilikuwa zangu nimekaa kizembe tu hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]mpesa inakama buku 5 nitest zali nipe na majibu kabisa au kugelezeana hairuhusiwi?