Mawazo255
JF-Expert Member
- Jul 27, 2026
- 241
- 678
Story za kijiweni 😂
Jamaa akasema: “Nikipata bilioni 1, mimi sitahangaika tena maisha yangu yote. Nitakuwa natumia laki moja tu kwa siku.”
Mmoja akamuuliza: “Unajua bilioni 1 itakutosha kwa muda gani?”
Akasema: “Miaka 100! 😂”
Mzee wa kijiweni akamwangalia akasema: “Kaa chini kwanza mwanangu… hesabu nayo ina maisha yake.” 🤣🤣
Jamaa akasema: “Nikipata bilioni 1, mimi sitahangaika tena maisha yangu yote. Nitakuwa natumia laki moja tu kwa siku.”
Mmoja akamuuliza: “Unajua bilioni 1 itakutosha kwa muda gani?”
Akasema: “Miaka 100! 😂”
Mzee wa kijiweni akamwangalia akasema: “Kaa chini kwanza mwanangu… hesabu nayo ina maisha yake.” 🤣🤣