Leo Mkeka Wa Jamaa Umetiki😂😂😂

Leo Mkeka Wa Jamaa Umetiki😂😂😂

Mkeka wako huo bila shaka siyo Kwa tabasamu hilo yaan Ticket price 500/= and winnings n tsh 168,650/= aisee. Anayebettisha anapata faida kweli?
Hapo unaweza kuta kama 500 zaidi ya elfu 10 zimeliwa mpaka huyo mmoja kubahatisha!
 
Pesa za muhindi tu hazijawahi kumuendeleza mtu .....hizo ukizipata bora chap chap nenda dukani nunua kitu chochote chenye thaman ya pesa hiyo kama unajenga nunua bati misumari na vitu vingine ila sio kufanya mtaji itakufa tu
Oyooo ko its better ukishinda ujilipue ununue hata kiwanja, ni kwanini hizo pesa za muhindi au wamezichawia ziwe hivoo
 
Hadi wewe unaelewa hizo mambo mama??
Sanaaaa.....home nakaa na wanaobet ....sasa wanakula hela hao nkaona msinitanie nifundisheni ....wakanifundisha sa hivi napambana na muhindi
 
Jana nilipiga kwa Mzungu elfu 16 kipindi kimoja tu hadi leo napenda sana kubet.
Be aware it's addictive.
Screenshot_2018-08-12-21-34-12.jpg
 
nimekosa mil198 ambapo huo mkeka nimeutoa mara 5 nikiwa na maana ingekuwa mil990..timu iliyoniuwa ina odd 1.06
dah! pole sana mkurugenzi.
ungekuwa le bilionea sasa hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom