SIO rahisi KWA daktari kumpigana kwa maadili ya kazi yake na kiapo chake,hakuna daktari anahepiga watu ila anatibu watu,na inawezekana alitukanwa matusi mabaya ama alipokonywa funguo ya gari huku akitukanwa matusi,hivyo katika kuchukua funguo ya gari yake Kali yake ili awahi kwenda kutimiza majukumu yake ndipo sasa Waka angushana katika kupokonyana funguo ya gari,HAKUNAGA DAKTARI ANAYEPIGA WATU,hapo daktari alicheleweshwa kwenda kutimiza majukumu yake ya kuhudumia wagonjwa.DAKTARI YEYOTE HAWEZI KUPIGA WAGONJWA WAKE.