Leo Mkeka Wa Jamaa Umetiki😂😂😂

Leo Mkeka Wa Jamaa Umetiki😂😂😂

Khaaaaaa premier bet nimeshindwa kujiunga ......ila meridian bet kwenye kudeposit hela unakatwa mpunga mrefu jaman ....kudeposit buku eti unalimwa sh mia mbili dah
meridian ukideposit kw tgo wanakat chache kuliko ukideposit kwa voda, premier wanakata ndg pi kuliko meridian mfano ukideposit 5000 premier cdhani kama wanakata zaidi ya miambili ila meridian udeposit 5000 halafu kwa voda nahisi wanakata mia tano na zaidi
 
Nnampango Wa paua nyumba kwa hela ya kubet,ittawezekana kweli
!?
Itawezekana saanaaaa cha msingi jitoe ufahamu tena elfu kumi chagua timu kwa umakini mnoo kabla hujabet omba mungu japo kamali ni dhambi ila omba tu coz hata mchawi anaomba kwa mungu......kisha zichambue timu vizuri ...nakushauri utumie meridian bet ndo nzuri ahsante
 
Nabet sana .....unaweza liwa buku Mara nne siku ukitusua unalipia zile ulizoliwa na hela ya kwenda kula bata inabakia
Duuh kuliwa buku Mara 4 zote ,nilivo na roho ndogo kwenye risk taking, naweza kuhairisha kubet ,ila ntajitahidii lkn naskia hizo pesa ni kama zina mashetani hivi eti hazidumu mf kufanyia investments, je ni kweli hapo?, we we ushawahi kufanyia issue ya maana kupitia pesa hizo?
 
meridian ukideposit kw tgo wanakat chache kuliko ukideposit kwa voda, premier wanakata ndg pi kuliko meridian mfano ukideposit 5000 premier cdhani kama wanakata zaidi ya miambili ila meridian udeposit 5000 halafu kwa voda nahisi wanakata mia tano na zaidi
Dah wananikera Mimi sijui kwa nini hawakuweka direct kama m bet .....wala hatukatwi
 
Duuh kuliwa buku Mara 4 zote ,nilivo na roho ndogo kwenye risk taking, naweza kuhairisha kubet ,ila ntajitahidii lkn naskia hizo pesa ni kama zina mashetani hivi eti hazidumu mf kufanyia investments, je ni kweli hapo?, we we ushawahi kufanyia issue ya maana kupitia pesa hizo?
Pesa za muhindi tu hazijawahi kumuendeleza mtu .....hizo ukizipata bora chap chap nenda dukani nunua kitu chochote chenye thaman ya pesa hiyo kama unajenga nunua bati misumari na vitu vingine ila sio kufanya mtaji itakufa tu
 
kesho ndo utanielekeza au?
Uhuhuhuhuhuhu tafuta mkaka anayebet karibu yako atakuelekezaaa.....kukuelekeza kwa maandishi ni ngumu na hutoelewa hata kwa bunduki
 
Khaaa nabet ....kuweka buku kula elfu kumi ishirini na kuendelea huoni kama ni faida hiyo???
kwa kweli nipate Elimu ya kutosha kuhusu kubet!

Mimi nimfatiliaji na mshabiki kindakindaki wa michezo lakini sijawahi kushawishika hata siku moja kubet!
 
kwa kweli nipate Elimu ya kutosha kuhusu kubet!

Mimi nimfatiliaji na mshabiki kindakindaki wa michezo lakini sijawahi kushawishika hata siku moja kubet!
Ukianza kubet kuacha ngumu mnooo......tena haswa ukiweka mfano buku ukala 20 au 33 sijui ngapi huko huwezi kuacha kubet
 
Ukianza kubet kuacha ngumu mnooo......tena haswa ukiweka mfano buku ukala 20 au 33 sijui ngapi huko huwezi kuacha kubet
Chezeeni tu jamani! mimi ngoja nipambane na hali yangu!!

Maana hiyo tahadhali ya kwamba nikicheza nikashinda kuacha ni ngumu kwa kweli hapana, nyie endeleeni tu!
 
Chezeeni tu jamani! mimi ngoja nipambane na hali yangu!!

Maana hiyo tahadhali ya kwamba nikicheza nikashinda kuacha ni ngumu kwa kweli hapana, nyie endeleeni tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom