Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,777
huu ndio mwanzo wa mi kuanza kubeti sasaBuku tu mtu katembea na kititaView attachment 834654
huu ndio mwanzo wa mi kuanza kubeti sasaBuku tu mtu katembea na kititaView attachment 834654
Sio mchezo aiseeHuyo hapo mkuuView attachment 834869
Shosti hapo nje kijiweni wengi sana wanabet kijiwe kizima ila siwezi jamani maana wananiheshimu sana yaani sana ila usijali nitambana tu hazard tutakuwa sawa,hujanijibu kugelezea kupo?utakuwa unanisaidia majibu Mzigua90 inabidi darasa lianze tukitoka kula biriani tuhamie kama meridian au wapi hazard atupe elimuUhuhuhuhuhuhu tafuta mkaka anayebet karibu yako atakuelekezaaa.....kukuelekeza kwa maandishi ni ngumu na hutoelewa hata kwa bunduki
Anapigaje sasa Kwa style hyo mtu anatumia jero tu anapata 168... Aisee
Yes kugelezea kupo kama kawaShosti hapo nje kijiweni wengi sana wanabet kijiwe kizima ila siwezi jamani maana wananiheshimu sana yaani sana ila usijali nitambana tu hazard tutakuwa sawa,hujanijibu kugelezea kupo?utakuwa unanisaidia majibu Mzigua90 inabidi darasa lianze tukitoka kula biriani tuhamie kama meridian au wapi hazard atupe elimu
basi utakuwa unatupa majibuYes kugelezea kupo kama kawa
basi utakuwa unatupa majibu
hazard atawapa majibu huyo konkodi .....Mara paaap nimekupa majibu mkeka umechanika si utaniona mchawi......halafu inabidi udownload hizo app then ujisajiri ndipo uanze kubethayo yote mwalimu wetu hazard atatuelekeza hanaga shida![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hazard atawapa majibu huyo konkodi .....Mara paaap nimekupa majibu mkeka umechanika si utaniona mchawi......halafu inabidi udownload hizo app then ujisajiri ndipo uanze kubet
usinicheke,nakuambia hela zinanisubiri mimi halafu mimi siziendei