johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,996
- 142,011
Mawaziri Watatu wa Israel wamesusa kuhudhuria kikao cha Baraza la Vita kinachofanyika kila Jumapili
Ikumbukwe kikao kilichopita zilizuka vurugu baada ya baadhi ya Mawaziri kuukataa mpango wa Waziri wa ulinzi wa kuwaondoa Gaza Wapalestina wote
Source Al jazeera news
Ikumbukwe kikao kilichopita zilizuka vurugu baada ya baadhi ya Mawaziri kuukataa mpango wa Waziri wa ulinzi wa kuwaondoa Gaza Wapalestina wote
Source Al jazeera news