Leo hii ndo nimekata tamaa rasmi kuoa

Leo hii ndo nimekata tamaa rasmi kuoa

mtoa thread ni ndondocha too we una mtto af utak girl mweny mtto we c msenge tooo
 
Hapo si mshakutana single father na single mother huoni mtatengeza familia nzuri kulingana na background zenu
 
Sikia mkuu,muache akaolewe na aliyemtia mimba,na wewe ukaoe uliyemtia mimba,sasa we kazi yako unazalisha unaenda kuoa kwingine kma ulimzalishia mwenzio nawe umezalishiwa oa tu.
 
Kwanza kabisa eee Mungu nisamehe dhambi ya kumzalisha dada wa watu mwaka 2010.
Pia ingawa aliolewa Kwa yeye mwenyewe kukosa subira kutokana na mie kuwa na safari ndefu ya kusoma,licha ya kumsihi sn.

Huku Cambodia nimebahatika kukutana na wa Njombe mwenzangu(Mtanzania I mean) ni wife material haswaa.
Bond ikakubali,chemistry ni ya hali ya Juu.Yani ndo aina ya mke nilikuwa namtafuta,yani pamoja na mie kutakiwa kumpenda ila yeye pia anatakiwa awe zaidi ya mama kwani nayajua niliyopitia mie.

Masikini nimegundua ana mtoto tayari ingawa anajitahidi kuficha ili tufikie adhma yetu.Yani moyo wangu umeumia sn, ingawa nami nina mtoto.
Ukweli wa Mungu nafsi yng haipo tayari kuoa mtu aliye na mtoto tayari.

NIMEKATA TAMAA,SIELEWI NIFANYE NINI?
Na demand ya kuoa ipo sana sana kwani umri nao si rafiki.

Akili imevurugika kabisa.Ama kweli ng'ombe wa masikini hazai.
kwanini unaamini kuwa mwanamke mwenye mtoto hana sifa za wewe kumuoa!?kuna wife material wazuri tu wanapatikana miongoni mwa hao waliozalishwa na kukimbiwa na hao irresponsible men!!
 
Poleni masingle mama mnaodhalilishwa humu ndani na hawa panya buku ambao hawana shukrani,Ukikua utaacha kuwa na mawazo mgando.
 
Siku moja wakati umeshamuoa hiyo atakuja baba wa mtoto aliye zaa na mkeo kwamba amekuja kumwona mtoto wake.Atakutambulisha kisha baada ya maongezi ataaga na labda ataacha matumizi ya mtoto.Kisha mkeo anakuomba ruhusa ngoja nimtoe mgeni.Mkuu usioe wenye watoto.Siku baba yake akija presha itakuua jinsi atakavyoonesha makeke
 
Siku moja wakati umeshamuoa hiyo atakuja baba wa mtoto aliye zaa na mkeo kwamba amekuja kumwona mtoto wake.Atakutambulisha kisha baada ya maongezi ataaga na labda ataacha matumizi ya mtoto.Kisha mkeo anakuomba ruhusa ngoja nimtoe mgeni.Mkuu usioe wenye watoto.Siku baba yake akija presha itakuua jinsi atakavyoonesha makeke

Yeye mwenyewe kazalisha MTU na sasa hivi ameshaolewa je huwa anaenda kuona mtoto wake kwa mwanaume mwingine? I am sure haendi so asiogope aoe tu ukute huyo ndio mke toka kwa Mungu mbali na hapo anaweza oa asiye na mtoto lakini aka regret for the rest of his life.
 
Ningesimulia but ngoja niendelee kuumia moyo tu.

No way.

Hawa viumbe wengi wao hawako tayari kuolewa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwahiyo basi ndio tuolewe tu na yeyote ilimradi mwanaume!!
 
Nyang'au WEWE. We ulomzalisha mbona wenzio wameoa!!!!! Oa mwanamke huyo ulipe deni la kumzalisha ambae hukumwoa
 
Bora huyo umemkuta na mtoto kuliko kuliko kuoa binti ukijua hana mtoto Kumbe Alisha toa mimba sita. Ushauli wangu mwanamke mwenyewe mtoto kama sifa zingine Zote amado oa tu mkuu mtoto siyo sababu ya msingi kumuacha Mke kwanza ukimkuta na mtoto Ndiyo unakuwa na huakika kizazi anacho
Acha kupotosha watu. Hata hao waliozaa wapo waliozitoa mimba nyingi tu. Na si ajabu huyo aliyemzaa ni sababu tu ilishindikana kutoa mimba.
 
wakati mwingine ni bora uwe mkweli tu ili mtu ajue anajipangaje/anaipangaje akili yake kukabiliana na ukweli huo

mie mmoja alinidanganya atakuwa kwa shangazi yake (mjini hapa hapa) kama siku 3-4 hivi kumbe alienda kijijini (sijui kwa mganga, sijui kuchepuka, sijui umalaya) sikujua hata

bahati mbaya alipo enda hakuna mtandao, meseji unatuma ina deriver saa 6 usiku. kwa kosa la uongo huo nikamtwanga meseji sitaki tena mahusinao nae japo tulisha panga mengi.

vumilia tu mkuu, usiwaze atakuwa anapasha kiporo.
 
Siku moja wakati umeshamuoa hiyo atakuja baba wa mtoto aliye zaa na mkeo kwamba amekuja kumwona mtoto wake.Atakutambulisha kisha baada ya maongezi ataaga na labda ataacha matumizi ya mtoto.Kisha mkeo anakuomba ruhusa ngoja nimtoe mgeni.Mkuu usioe wenye watoto.Siku baba yake akija presha itakuua jinsi atakavyoonesha makeke
Bila shaka unatania
Usikate tamaaa wanawake tupo
 
Kwanza kabisa eee Mungu nisamehe dhambi ya kumzalisha dada wa watu mwaka 2010. Pia ingawa aliolewa kwa yeye mwenyewe kukosa subira kutokana na mimi kuwa na safari ndefu ya kusoma, licha ya kumsihi sana.

Huku Cambodia nimebahatika kukutana na wa Njombe mwenzangu(Mtanzania I mean) ni wife material haswaa.

Bond ikakubali, chemistry ni ya hali ya Juu.Yani ndo aina ya mke nilikuwa namtafuta, yani pamoja na mimi kutakiwa kumpenda ila yeye pia anatakiwa awe zaidi ya mama kwani nayajua niliyopitia mie.

Masikini nimegundua ana mtoto tayari ingawa anajitahidi kuficha ili tufikie adhma yetu. Yani moyo wangu umeumia sana, ingawa nami nina mtoto.
ukweli wa Mungu nafsi yangu haipo tayari kuoa mtu aliye na mtoto tayari.

NIMEKATA TAMAA, SIELEWI NIFANYE NINI?

Na demand ya kuoa ipo sana sana kwani umri nao si rafiki.

Akili imevurugika kabisa. Ama kweli ng'ombe wa masikini hazai.

kumbe na wewe una mtoto nje? sasa inakuuma nini kwani huyo mwanamke huwezi kumuoa akiwa na mtoto? mbona jamaa unaleta akili za kitoto, aisee be seriously basi, we mwenyewe umezalisha mwingine huko nyuma,then unasema huwezi kuoa mwanamke aliye na mtoto,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom