Bei Mbaya
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 2,262
- 843
Mhe. Mbunge Lembeli akihutubia mkutano wa hadhara wilayani Urambo amefumba fumbo kwamba wasioishi hapa Tanzania na wasiojua kwa nini watanzania ni masikini ndiyo waliyotufikisha hapa tulipo.
Maneno hayo yakanikumbusha kauli ya mhe. J.K aliyoitoa safarini Ufaransa 'sijui kwa nini Tanzania ni masikini'. pia safari za nje ya nchi zinazolalamikiwa mara kwa mara ndicho mbunge huyo alichobainisha 'wasioishi hapa nchini'
kauli hiyo ilifuatiwa na maelezo ya Sitta ya nia yake ya kuwaunganisha watanzania wazalendo ili kupinga rasilimali za taifa kunufaisha wachache. Sherehe hiyo pia ilishuhudia wazee wa urambo wakimtunuku Mhe. Sitta heshima kwa kuvalishwa mashuka kama wanayovishwa wazee wa Urambo kwa mchango wao kwa kupigania haki za jamii yao
Source: Taarifa ya Habari ITV saa 2
Maneno hayo yakanikumbusha kauli ya mhe. J.K aliyoitoa safarini Ufaransa 'sijui kwa nini Tanzania ni masikini'. pia safari za nje ya nchi zinazolalamikiwa mara kwa mara ndicho mbunge huyo alichobainisha 'wasioishi hapa nchini'
kauli hiyo ilifuatiwa na maelezo ya Sitta ya nia yake ya kuwaunganisha watanzania wazalendo ili kupinga rasilimali za taifa kunufaisha wachache. Sherehe hiyo pia ilishuhudia wazee wa urambo wakimtunuku Mhe. Sitta heshima kwa kuvalishwa mashuka kama wanayovishwa wazee wa Urambo kwa mchango wao kwa kupigania haki za jamii yao
Source: Taarifa ya Habari ITV saa 2