Lembeli nae siku hizi anajitahidi tu kuongea lakini utekelezaji sijaona bado!
hakuna utekelezaji hapo,maana jamaa wote wa magamba chama mbele,taifa bdae
Lembeli nae siku hizi anajitahidi tu kuongea lakini utekelezaji sijaona bado!
tupo pamojaSiita anajitayarisha kugombea Urais 2015 na Lembeli ni mpiga zumari wake. Hakuna zaidi.
Naweza kukubaliana na wewe kwamba Sita anatumia kaujanja kujijenga
Ila kwamba Sita ni jizi, nachelea
Siita anajitayarisha kugombea Urais 2015 na Lembeli ni mpiga zumari wake. Hakuna zaidi.
usifanye mchezo na mshirikina
Siita anajitayarisha kugombea Urais 2015 na Lembeli ni mpiga zumari wake. Hakuna zaidi.
Siita anajitayarisha kugombea Urais 2015 na Lembeli ni mpiga zumari wake. Hakuna zaidi.
unamaanisha wazee wengi wenye akili wameondoka ccm? Kipi kinachombakisha lembeli?
hapo amegusa penyewe kabisa,lazima atapewa onyo kwenye vikao vya nec.
Mhe. Mbunge Lembeli akihutubia mkutano wa hadhara wilayani Urambo amefumba fumbo kwamba wasioishi hapa Tanzania na wasiojua kwa nini watanzania ni masikini ndiyo waliyotufikisha hapa tulipo.
Maneno hayo yakanikumbusha kauli ya mhe. J.K aliyoitoa safarini Ufaransa 'sijui kwa nini Tanzania ni masikini'. pia safari za nje ya nchi zinazolalamikiwa mara kwa mara ndicho mbunge huyo alichobainisha 'wasioishi hapa nchini'
kauli hiyo ilifuatiwa na maelezo ya Sitta ya nia yake ya kuwaunganisha watanzania wazalendo ili kupinga rasilimali za taifa kunufaisha wachache. Sherehe hiyo pia ilishuhudia wazee wa urambo wakimtunuku Mhe. Sitta heshima kwa kuvalishwa mashuka kama wanayovishwa wazee wa Urambo kwa mchango wao kwa kupigania haki za jamii yao
Source: Taarifa ya Habari ITV saa 2