Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

Teh Teh yanii mapema...

Wana JF nataka niwahakikishie kuwa Lowassa hawezi kuwa raisi wa nchi hii iwe mwaka huu wala miaka 25 ijayo. Chadema wanaweza kumtumia ili waongeze pesa zao za kampeni na of course wabunge na madiwani hasa kanda ya kaskazini. Hayo nawaambia from the bottom of my heart asiyetaka asubiri baada ya October 2015 ndiyo ataamini maneno yangu!!
 
Acha kubweka kama bweha abwekeaye ndege warukao....

JK mwenyekiti wako sio fisadi??

JK ndiye alicheza dili ya Richmond kizembe ikabumbuluka Lowassa alijiuzulu ili kuokoa Serikali na CCM...

Sasa mbona Richmond bado ipo nchini ambayo ndiyo SYMBION ya ubungo?? unabweka nini wakati bado unaliwa?? si mnaumizwa na ufisadi mwambieni JK aifunge SYMBION maana inakula pesa zile zile kama za RICHMOND!!!!

SIMBA TRUST iliyokwapua mabilioni ya ESCROW inamilikiwa na JK & SALMA mbona hamjawahi kuhoji??

Wewe mpumbavu kama si mchawi utakuwa mwanamke mwenye wivu wa viwango vya juu....

Sasa mkuu huyo LOWASSA si aseme sasa huo ukweli ambayo yeye ndio anaujua kuliko wewe,, mbona mwenyewe yuko kimya ila nyie ndio mnamsaidia kusema??? Nitaamini tu atakapotoka hadharani kuyasema hayo uyasemao,,, hivi wewe unafikili lowassa mjinga kiasi hicho cha kuachia uwaziri mkuu huku akijua ndio ungemsaidia kuwa rais bila nguvu,, kwa nini ROSTAM AZIZI ni rafiki yake chanda na kidole??? Tuelezwe fact zipi zitatumika kuleta maendeleo na vyanzo vipi vitatumika na kwa miaka mingapi watanzania watakuwa pale ni fact tu mkuu sio hizi siasa za oyaoyaoya!!!
 
mkuu Lizaboni hebu fafanua vizuri bado sijakuelewa hapa. ni mafisadi gani hawa chao CCM? je, ni karamagi, chenge, tibaijuka, ngereja, gurumo (mnikulu), lugemalira, au wale waliochota mabilion Stanbic Bank?

Baba yake Membe unamwacha wapi? Mali na mabilion ya Gadafi yote wamevipora kiharamu, Membe ni Fisadi mkubwa Pia ana laana ya balozi wa Libya aliyekufa kifo cha kuficha ushahidi wa Mali na pesa za Gadafi, anapiga Dili nyingi sana pale wizarani na hiyo pesa kaiwekeza kwenye kupambana na Lowasa hataki kupeleka maendeleo Kwa ukoo wake, kijijini kwao, na jimboni kwako.
 
Last edited by a moderator:
Kama chadema wamefika hatua ya kumwalika lowasa kwenye chama chao, basi ni hatari. Kwa lugha nyingine wanamualika chenge, rostam na wengine wa aina hiyo! Watakuwa ni wapumbavu, binafsi nakatishwa tamaa na siasa za bongo hasa ninaposikia kuwa sasa lowasa ni mbeba bendera wa chadema. Sasa baada ya uchaguzi watatuambia kuwa wanapinga ufisadi?

mkuu tuliza munkari. kwanza mtoa hoja hajamtaja huyo kigogo anayehamia UKAWA...wewe umejuaje kwamba ni lowassa? grow up a bit guz! je, lowassa kuingia ukawa ni haramu lakini nyie CCM mnavyowaleaj mafisadi kama chenge, rostam, rugemalira, maranda, yona na mramba ni sahihi? mbona unakuwa mfinyu wa akili hivyo man?
 
Last edited by a moderator:
Tunataka jk akane,alivyo kuwa anampigia kampeni mwaka 2010 kuwa hajawai kumuona kiongozi bora na mchapa kazi kama lowasa,video tunazo
Magirini ya kisiasa hata wewe yamekuyeyusha?
Sasa mbona kamkata!!
 
Waondoke tu hao mafisadi. Hawana chao CCM

Woote ukiwemo ww makonda nyie ni mafisadi wakubwa kuanzia ile kamati yenu ya maadili woote ni mafisadi kwani maisha wanayoishi hayaendani na mishahara yao, pesa za Fitna za kuwachafua na kuwachonganisha watu mnatoa wapi? Huu si ufisadi ? wewe ni Fisadi wa karne maana unavuna pesa nyingi kupitia Udalali wa siasa za maji ya chooni, unapata pesa nyingi Kwa njia haramu pasipo kulipa kodi, mwambie baba yako Membe awaludishie Libya Mali na pesa zao la sivyo Membe atapelekwa The Hague .
 
mkuu tuliza munkari. kwanza mtoa hoja hajamtaja huyo kigogo anayehamia UKAWA...wewe umejuaje kwamba ni lowassa? grow up a bit guz! je, lowassa kuingia ukawa ni haramu lakini nyie CCM mnavyowaleaj mafisadi kama chenge, rostam, rugemalira, maranda, yona na mramba ni sahihi? mbona unakuwa mfinyu wa akili hivyo man?
Yupo Membe aliyepora Mali na mapesa yote ya Gadafi na wahindi kibao .
 
Last edited by a moderator:
"unaposema cha nini, wenzako wanauliza nitakipata lini?".
 
Siasa za mafisadi hizo

Umekariri Neno Fisadi hadi umeliona hilo Neno ni Kwa Ajili ya maadui wa baba yako Membe tu, ebu Tambua kuwa wewe mwenyewe ni Fisadi mbaya na hatari huna cha kujivunia wewe ni Fisadi kutokana na kuvuna mapesa mengi Kwa njia haramu Kwa kazi haramu pasipo kulipa Kodi, ni mchawi pekee humjua mchawi mwenzake wewe ni Fisadi ndiyo maana unapenda kuwaita wabaya wa Membe mafisadi .
 
Ila najiuliza swali. MTU ambaye ameshindwa kukidhi vigezo vya CCM anawezaje kukidhi vya UKWA?

Mara zote niliwaaminisha wenzangu kuwa tatizo la CCM ni system, leo system imehamishiwa kwetu kivipi isionekane ni tatizo, ngoja tuonee mkuu, am desperate
Kama mtu alikuwa waziri au hata mkuu wa mkoa katika serikali ya Kikwete, hafai kuwa Rais wa Tanzania. Kimsingi mtu huyo ni sehemu ya uongozi mbovu na wa hovyo ulioliingiza taifa letu katika umaskini mkubwa na mdororo wa uchumi tulionao sasa. Kama mtu huyu alijua namna ya kuiokoa nchi na hakufanya hivyo, ina maana alitusaliti watanzania na hafai kuwa Rais wa nchi. Kama hakujua ni nini cha kumshauri Kikwete ili Mambo yaende sawa, ina maana hana analolijua. Je anataka awe Rais ili afanye nini ilihali hakuna alijualo?
 
kigogo ambae wangempata kidogo akasumbua ni warioba,lakini lowasa wala hata hasumbui
 
Ila najiuliza swali. MTU ambaye ameshindwa kukidhi vigezo vya CCM anawezaje kukidhi vya UKWA?

Vigezo vipi? Kamati ya maadili kazi yake ni kukata majina? Pia hiyo kamati ya maadili wao wenyewe wana maadili? Mali zao zinaendana na vipato vyao? Mchakato wa Uteuzi Dodoma ulikuwa wa magumashi matupu, Hata hiyo kamati licha ya kufanya mambo Kwa shinikizo ilipeleka majina matano(5) mwanamke akiwa mmoja tu wa Zanzibar , wengine walikuwa pinda, bilali, Magufuli na makongoro Nyerere , meza kuu cc wakachakachua wakawakata wakapachika Rose, Membe na January kimagumashi , hivi ndivyo vigezo ? Kaa ukijua kuwa kura za Magufuli zilitoka Kwa Wajumbe waliokuwa wanamtaka Lowasa tu ndipo wakaamua kuwakomesha chaguo la cc na wenzao waliokuwa wanataka kumpenyeza Membe Kwa njia Haramu.
 
Lowasa ndani ya Ukawa...Nchi itatikisika ...Simba wa Yuda ataunguruma muda si mrefu



Simba wa Yuda, atanguruma simbaaa, akingurumaaa CCM yote chaliiiiiiiiiiiiiiiiiii......mwaka huu UKAWA itaua CCM kwa ebola...yaani...UKAWA wasehemeni CCM jamani, kaaaahh...maana, CCM lazima ife tu...
 
Hivi jambazi linaweza kusema kitu mkalisikiliza hata kama m-mburura? Juzi kakusanya wanachadema wenzie wacache pale Monduli katangazia nchi madiwani wote Monduli wameamia cdm. Huyu naye ni wa kuamini, anajua kuwa watu wameshaona cdm hawajitambui sasa ana-make attention kwa baadhi ya mburura mhudhurie kwa wingi mkidhani Lowasa anahamia cdm. Ukweli ni kwamba hilo ni tapeli uchwara hata siasa halijui labda hizo za ulaghai na ul;aghai wenyewe ni hafifu. Halafu kuna vichwa vya panzi humu vinaliamini jambazi la silaha
 
Back
Top Bottom