All TRUTH
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 5,452
- 2,571
Lowasa ndani ya Ukawa...Nchi itatikisika ...Simba wa Yuda ataunguruma muda si mrefu
Lowassa ni mtu mdogo sanaaa hana lolote
Lowasa ndani ya Ukawa...Nchi itatikisika ...Simba wa Yuda ataunguruma muda si mrefu
Tuna mtaji mkubwa wa kutosha kutuingiza ikulu,nawashauri muandaeni makomeo alijue hilo kuwa anaenda kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani
kama ulishajua piga chini, mbaya zaidi ww si mjanja kama ujionavyo, humu tunakuona kibajaji tu.Hakuna jipya hapo. Wajanja tulishajua kitambo. Anapita mule mule
Waondoke tu hao mafisadi. Hawana chao CCM
Ikulu mtaisikia kwenye gazeti la Tanzania Daima tu na hapa JF!Tuna mtaji mkubwa wa kutosha kutuingiza ikulu,nawashauri muandaeni makomeo alijue hilo kuwa anaenda kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani
Sina hamu na chadema tena! Lowasa awe mgombea wa chadema!? hii ni laana kwa waliopigania chadema maisha yao yote!
Bila shaka mnajuta kimoyomoyo.
we jamaa unaonekana mumewako ccm,ukouko pelekea mumeo anacho hitaji.Huyo fisadi hawezi kusababisha CCM iondoke madarakani
kwani fisadi ni lowasa pekee yake??ccm walioiba pesa za escrow.epa.meremeta.kagoda.deep green.rada etc wataondoka lini? mbona lowasa kaiba richmond tu??vip chenge mpiga deal mkuu wa.ccm ataondoka??
Ikulu mtaisikia kwenye gazeti la Tanzania Daima tu na hapa JF!
Sasa Padre atakanusha maneno yake kwenye ile orordha ya aibu?
mnamsema mtu fisadi kwakuambiwa hamjui hata maana ya richmond wala escrow ninini sasa mmebaki kuropokatu oofisadi oofisadi kisa eti mmesikia mnajua kilicho tokea? je hamjui kunasirinzito lowasa anayo na ataiweka hadharan mda mref acheni ubwete ileni siasa msihukumu kwakusikia
Lowasa anautaka urais kwa hali na mali, CCM wamemkataa sababu ni fisadi leo chadema wanataka kumpokea.
Napata shaka katika uadilifu na hiki chama
Lowasa ni mpango wa Mungu