babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,314
Kama ni hivyo ngoja nikajiandikishe ili niweze kumpigia kura.manake alivyokatwa nilikasirika hata kujiandikisha sijaenda.hata kama kaenda Chadema sijui mm sijali nitamchagua tunachagua mtu sio chama bana
Karibu na chadema kabisa