Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

Kama ni hivyo ngoja nikajiandikishe ili niweze kumpigia kura.manake alivyokatwa nilikasirika hata kujiandikisha sijaenda.hata kama kaenda Chadema sijui mm sijali nitamchagua tunachagua mtu sio chama bana

Karibu na chadema kabisa
 
Huyo fisadi hawezi kusababisha CCM iondoke madarakani

Pamoja na kwamba upo kazini, lakini hii sasa ni too much. Yaani day & night ni wewe na Lowasa tu, amekukosea nini huyu mzee? Come on guy! Achana na hizo mambo ccm ina wenyewe hiyo. Magufuli alipitishwa na watu wangapi Dodoma? Is it too hard for you to comprehend?
 
AS HUMAN TEND TO THINK POSITIVELY......

"CCM" NI CHAMA FULANI,CCM SIYO "MUNGU"

NI UPUMBUVU KUTOKUWA MOVABLE WAKATI WA KUFANYA HARAKATI MBALIMBALI.....

......."CCM SIYO BABA YANGU WALA MAMA YANGU"........JKN.

.....CCM ILIYOKUWA CCM IMEKWISHA NYAKULIWA NA KUWEKWA MIFUKONI NA WACHACHE......

....DEMOKRASIA HAIPO TENA KTK CHAMA CHETU KILE.....NI UBABE ULE WA AKINA ......

ii
 
Hakuna jipya hapo. Wajanja tulishajua kitambo. Anapita mule mule

Kama chadema wamefika hatua ya kumwalika lowasa kwenye chama chao, basi ni hatari. Kwa lugha nyingine wanamualika chenge, rostam na wengine wa aina hiyo! Watakuwa ni wapumbavu, binafsi nakatishwa tamaa na siasa za bongo hasa ninaposikia kuwa sasa lowasa ni mbeba bendera wa chadema. Sasa baada ya uchaguzi watatuambia kuwa wanapinga ufisadi?
 
mnamsema mtu fisadi kwakuambiwa hamjui hata maana ya richmond wala escrow ninini sasa mmebaki kuropokatu oofisadi oofisadi kisa eti mmesikia mnajua kilicho tokea? je hamjui kunasirinzito lowasa anayo na ataiweka hadharan mda mref acheni ubwete ileni siasa msihukumu kwakusikia
 
AS HUMAN TEND TO THINK POSITIVELY......
"CCM" NI CHAMA FULANI,CCM SIYO "MUNGU"
NI UPUMBUVU KUTOKUWA MOVABLE WAKATI WA KUFANYA HARAKATI MBALIMBALI.....
......."CCM SIYO BABA YANGU WALA MAMA YANGU"........JKN.
.....CCM ILIYOKUWA CCM IMEKWISHA NYAKULIWA NA KUWEKWA MIFUKONI NA WACHACHE......
....DEMOKRASIA HAIPO TENA KTK CHAMA CHETU KILE.....NI UBABE ULE WA AKINA ......
ii

Hivi mkuu falsafa inayoleta "mapinduzi", . . . .inaweza kuambatana na demokrasia??!!
 
mnamsema mtu fisadi kwakuambiwa hamjui hata maana ya richmond wala escrow ninini sasa mmebaki kuropokatu oofisadi oofisadi kisa eti mmesikia mnajua kilicho tokea? je hamjui kunasirinzito lowasa anayo na ataiweka hadharan mda mref acheni ubwete ileni siasa msihukumu kwakusikia

1. Kama kuna yaliyotokea lazima ilikuwa kwa makubaliano, kuachia madaraka na kukaa kimya kipindi chooote inaashiria nini??!!!
2. Hakuna kitakachowekwa wazi hadharani popote pale. . . . . .

Kuleni siasa. . . . .
 
hawezi kufuadafu kwa dr magufuli,anapoteza mda bure
 
Mbunge wa Arusha Mjini,Godblees Lema, amesema watapokea "kigogo mkubwa" kutoka CCM pamoja na wenyeviti wa mikoa na wilaya katika mkutano utakaofanyika Dar-es-salaam.

Chanzo:Mtanzania

CCM mwaka huu lazima mtafute mchawi wakati mchawi/wachawi mlicheza nao mziki pale ukumbini.

CHADEMA wapewe hongera kwa hilo, maana kimekuwa chama cha viporo na makapi!
Sijui na Zito watamkaribisha lini?
 
mnamsema mtu fisadi kwakuambiwa hamjui hata maana ya richmond wala escrow ninini sasa mmebaki kuropokatu oofisadi oofisadi kisa eti mmesikia mnajua kilicho tokea? je hamjui kunasirinzito lowasa anayo na ataiweka hadharan mda mref acheni ubwete ileni siasa msihukumu kwakusikia

eti siri nzito,wabongo bana........

ana siri ipi hiyo nzito?
 
Kama Lowassa ni fisadi au sio fisadi itajulikana kesho jumapili mwembeyanga...mtikisiko mkubwa unakuja. Ninaihofu kesho lakini ninaitamani ifike.
 
Mbunge wa Arusha Mjini,Godblees Lema, amesema watapokea "kigogo mkubwa" kutoka CCM pamoja na wenyeviti wa mikoa na wilaya katika mkutano utakaofanyika Dar-es-salaam.

Chanzo:Mtanzania

CCM mwaka huu lazima mtafute mchawi wakati mchawi/wachawi mlicheza nao mziki pale ukumbini.

njoo lowasa
tulihuzunika pamoja.tukalia pamoja na tutahama pamoja
 
Lowasa ndani ya Ukawa...Nchi itatikisika ...Simba wa Yuda ataunguruma muda si mrefu

na wewe comred laki si pesa karibu (UKAWA) tujenge nchi, sisi tulisha amia mapema maana ccm ina wenyewe sio ile ya mwalimu nyerere,

karibuni:
lizabon
mzee tupa tupa
mussa alani
tanta madiba
faiza fox
simiyu yetu
rich pol
big show

nyote mna karibishwa (UKAWA)
 
Juzi nilimsikia mhubiri mmoja kutoka nchi moja ya Afrika wakati ana hubiri kwenye redio moja alisema kuwa kuna mtu mmoja alikuwa na madaraka makubwa nchini Tanzania ana mawazo mengi moyoni mwake baada ya jina lake kuondolewa wakati ana jaribu kutafuta nafasi nyingine ya juu zaidi,Mungu amesema kuwa mtu huyo asiendelee kuhuzunika na kusononeka kwa kuwa kuna mtu ana kuja kushika madaraka makubwa ya nchi naye atamfanya kuwa mmojawapo wa viongozi wakubwa katika utawala wake.

Pamoja na kwamba sina imani na hawa watabiri kwa kuwa mara nyingi wamekuwa wakisema uongo na kama ni kweli kuna kigogo mkubwa atapokelewa CHADEMA na kigogo huyo akatokea kuwa ni Lowassa nitaanza kuamini kwa mbaali unabii wa mhubiri huyo kwa mazingira haya kuwa anaye kuja na kuwa kiongozi mkubwa ni Dr Slaa na Lowassa atakuwa waziri mkuu.
 
Back
Top Bottom