Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 10,424
- 12,140
Kikwete kajitakia mwenyewe fedheha yote hii.... Alikubali kubebwa akajiona kafika.... Maskini akipata aisee ni shida...
Sasa chama kitamfia mikononi.....
Dr. Magufuli naye kaingizwa kichwa kichwa.... Daah ataishia kukariri idadi ya kilometers alizotembea kabla ya kunyang'anywa "dodo" na wajanja wa mjini....!!!!
Jamani tujifunze kitu hiki: Acheni uswahili, unafiki, uzandiki, uhuni na upotoshaji...Ukibebwa kwenye maisha... jitahidi kuwathamini waliokuwezesha hadi ukatimiza ndoto zako... Hata ukiwa mwenyewe usiwaze kuwapoteza ama kuwadharau waliokubeba wawe hai au wafu...!!!
Sasa chama kitamfia mikononi.....
Dr. Magufuli naye kaingizwa kichwa kichwa.... Daah ataishia kukariri idadi ya kilometers alizotembea kabla ya kunyang'anywa "dodo" na wajanja wa mjini....!!!!
Jamani tujifunze kitu hiki: Acheni uswahili, unafiki, uzandiki, uhuni na upotoshaji...Ukibebwa kwenye maisha... jitahidi kuwathamini waliokuwezesha hadi ukatimiza ndoto zako... Hata ukiwa mwenyewe usiwaze kuwapoteza ama kuwadharau waliokubeba wawe hai au wafu...!!!