Meli ilipigwa na dhoruba miaka mingi toka uhuru waliomo ndani wanaelea tu wakiishi kula samaki na viluilui,wamezaliana mpaka wamekuwa kama milioni45 hivi bado kila aliyendani yupo yupo hajui kesho na haitaji kuijua,, kwenye hiyo meli kuna wanasiasa hao yaani ni uongo kila kukicha tutafika kesho mara tunakaribia mara wengine oooh captain kalewa asaidiwe sasa hao macaptain ndio shida maana naona maengineer wamejitosa majini wanapiga mbizi sijui wanaelekea wapi,, huku meli imebaki na abiria na uongo kila siku engine hazina service captain hajui njia,,, wanaotaka kumsaidia captain nao wamepotea wakiwa humo humo na hata njia wanazosema watapita nazo sizo basi siku zinakwenda na meli inazidi kushika kutu huko chini and no chipping have been done sijui itazama sasa,,, maana hata maboya wala life boat and raft hakuna....