Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

Kazi ipo. Ruzuku inawasambaratisha
 

Attachments

  • 1437895189428.jpg
    1437895189428.jpg
    17.7 KB · Views: 273
Tunapenda sana mabadiriko ila kama yataletwa na Lowassa nina wasiwasi itakuwa mabadiriko hasi. Tutakuwa tunautangazia UMMA kuwa shida yetu sio kuleta ukombozi bali nasi tunatafuta kujaza matumbo yetu tu! Hii itakuwa ni zaidi ya usaliti kwa watanzania na sijui kama haitatugeukia

ndio maana nasema hizi siasa zetu ni sawa na pilau la msibani.
 
Lema atutajie tu jina maana kama Lowasa nakumbuka Lema alitamka kwa maneno yake kua Fisadi na sasa tunamsubili atuambie kama alimthalilisha
 
Wiki hii Ni wiki ya mtikisiko. Hivi ndiyo unavyoweza kuelezea hali itakavyokuwa nchini kutokana na matukio makubwa ya kisiasa yanayotazamiwa kutokea ndani ya wiki inayoanza leo ambayo yanaweza kubadili mwelekeo wa siasa za Tanzania.

=========================

Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema anasema kwamba wiki hii itakuwa ni wiki ya mtikisiko kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa viongozi 950 wa CCM wanahamia Chadema. Viongozi hao ni kuanzia ngazi ya kata, wilaya, mkoa na taifa.

Taarifa hizi Lema amezitoa wakati akiwapokea vigogo watatu na wananchama 30 kutoka CCM jana. Lema anasema kuanzia kesho (Jumatatu) kimbunga cha viongozi na wanachama wa CCM kuhamia chama cha ukombozi (Chadema) kitavuma kila kona ya nchi.

Vigogo hao ni Diwani wa Kata ya Moshono, Paul Matthysen na Mwenyekiti wa CCM Kata ya Terat, Simon Mollel wote wa jijini Arusha.
 
mtapigwa pigwa tuuuu kama mamvi alikatwa hapakutisika lipi tena litafanyika patikisike
 
Mahakama na Magereza yanaimarishwa na kufanyiwa ukarabati mkubwa kila kukicha.
 
Lema tunajua umekula million 120 kutoka kwenye pesa Mbowe alizouza Chama. Huna lolote
 
Back
Top Bottom