Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

Namshukuru Mungu navyoandika hapa tayari nina kichinjio nimekipata si muda mrefu. kazi kubwa imekwisha ambayo ni kumiliki kichinjio.. october 25 ni kutenganisha kichwa na kiwiliwili. Ni upumbavu kuwa nacho kisha usipige kura.
 
Ukawa hatariiiiiiiiiiii, Lowassa akitua tu UKAWA, CCM inakufa siku hiyo hiyooo
 
Siasa za chadema ni za kitapeli na ulaghai! Leo hii fisadi papa kawahonga viongozi wa chadema bil 10 na ghafla fisadi mmembadili jina na kumuita Simba wa Yuda!!! lahaulaa! ama kweli fedha fedheha. Slaa atabaki kumrembulia macho tu Lowasa na kuanzia sasa siwaamini chadema kwa ishu yoyote matapeli wakubwa. Watu walijeruhiwa maandamanoni, wengine wamepoteza viungo kuijenga chadema eti wakiamini ndio mkombozi wao katika kupambana na ufisadi kumbe ilikuwa ni gia ya kusaka ulaji mnono toka kwa hao hao mafisadi! mmewakatisha tamaa watanzania wenye uchungu na nchi yao. Natangaza rasmi kuwa CHADEMA ni chama cha mafisadi.

Na wewe uliwahi kuandamana katika kuijenga CHADEMA kutokea LUMUMBA? Lahaula allakwata, tutasikia na kuona mengi mwaka huu!!! Lete popcorn movie inaendelea kumbe sterling EDWARD bado hajakufa kumbe hili bonge la MOVIE
 
Kuanzia leo sitaki kusikia tena kuhusu hiki chama kinachodema sijui ndo chadema,wanatufanya majuha na kamwe wapasahau ikulu wezi wakubwa walaghai wanafiki,chama gani kinademadema hakina muelekeo.
 
Bavicha: CDM members and fans your leaders might be wrong learn to think for yourself
 
Bavicha: CDM members and fans your leaders might be wrong learn to think for yourself

Iweje tumpokee Esta na Lembeli halafu tumlatae Lowasa? Tutakuwa upinzani wa ajabucsana usiojua kutumia opportunity!
 
Ma CCM humu yanapinga kufa kupona kuona Lowassa akienda UKAWA, cdm... wananifanya wao ni Chadema, kumbe ni janja yao kutishia Chadema kumbe wanapoteza muda bure, Wana Chadema wako makini, na Lowassa soon atatua UKAWA...na ACT ndanii... CCM kufa ni lazima sasa...!!!

So, wana CCM humu acheni kujifanya Chadema, kupinga Lowassa kuja UKAWA, cdm...sbb mnajua CCM inaenda kufa kabla ya October...
 
Huyo fisadi hawezi kusababisha CCM iondoke madarakani
Mkuu nadhani chama kinaendeshwa kwa misingi maalumu,
Kama mlikuwa mnafahamu hayo yote kwanni hamkumfukuza chama???
Kwanni hamkumchukulia hatua za kisheria???
 
Huyo fisadi hawezi kusababisha CCM iondoke madarakani
Mkifanya kama Burundi hapo sawa, lakini kwa BVR imekula kwenu! Maandishi ushindwe kusoma hata picha nayo huoni?! Wewe ni mtu wa ajabu kweli. Teh!
 
Lowasa unatisha sana walikukosea pale Dom WAKAZIDI KUKUSIMANGA SIMAMA KIUME MAISHA HAYANA KESHO
 
Back
Top Bottom