Mkuu taarifa yako imejawa na tunga tata. Watapokea kigogo toka CCM kama mtu anaekuja kujiunga na CHADEA? au watapokea kigogo toka CCM kama mgeni Rasmi katika mkutano wao?Mbunge wa Arusha Mjini,Godblees Lema, amesema watapokea "kigogo mkubwa" kutoka CCM pamoja na wenyeviti wa mikoa na wilaya katika mkutano utakaofanyika Dar-es-salaam.
Mkutano huo utafanyika wiki ijayo kwa mujibu wa taarifa hiyo.
Chanzo:Mtanzania
CCM mwaka huu lazima mtafute mchawi wakati mchawi/wachawi mlicheza nao mziki pale ukumbini.
ni sheeedah!!!!!Duh..... Siasa
Huyo fisadi hawezi kusababisha CCM iondoke madarakani
Waondoke tu hao mafisadi. Hawana chao CCM
Makapi na chuya saizi yenu.Naendelea kusisitiza kuwa hayo ni maneno yako ni ya MKOSAJI
Kama chadema wamefika hatua ya kumwalika lowasa kwenye chama chao, basi ni hatari. Kwa lugha nyingine wanamualika chenge, rostam na wengine wa aina hiyo! Watakuwa ni wapumbavu, binafsi nakatishwa tamaa na siasa za bongo hasa ninaposikia kuwa sasa lowasa ni mbeba bendera wa chadema. Sasa baada ya uchaguzi watatuambia kuwa wanapinga ufisadi?
Anakuja na mtaji wa kura 800,000 (laki nane) za wale wanachama wa CCM waliomdhamini. Duuuh! CCM kama wanajuta vile!
Makapi na chuya saizi yenu.
Teh Teh wana jisumbua bure na Lowasa ndiyo atakuwa kaburi lao....wamchukue tupunguze kelele....Hakuna jipya hapo. Wajanja tulishajua kitambo. Anapita mule mule
Kipindi kile mliilaumu chadema kuwa waliwaita wanaoondoka cdm ni wasaliti sasa mnasema kila anayeondoka ccm ni fisadi. Hivi hii ni kweli? Sio kwamba wanachama wenu wanapinga kupindishwa kanuni kipindi cha uteuzi wa mgombea urais? Kila mtu anajua kuwa haki na demokradia haikutendeka ktk chama kikongwe cha ccm kinachojisifu kuwa kinajua demokrasia. Kwa nini kamati ikate watu? Tena bila kuwahoji? Hata mimi ningehama.
Kama waliweza kuiweka madarakani tena kwa ushindi mkubwa wanashindwaje kuiondoa mkuu..tena walimuweka fisadi mwenzao.
Mkuu taarifa yako imejawa na tunga tata. Watapokea kigogo toka CCM kama mtu anaekuja kujiunga na CHADEA? au watapokea kigogo toka CCM kama mgeni Rasmi katika mkutano wao?
Adhabu yake ilikuwa kumuenguwa kwenye kinyang'anyiro cha urais
Huyo fisadi hawezi kusababisha CCM iondoke madarakani