minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,320
- 22,322
na wewe comred laki si pesa karibu (UKAWA) tujenge nchi, sisi tulisha amia mapema maana ccm ina wenyewe sio ile ya mwalimu nyerere,
karibuni:
lizabon
mzee tupa tupa
mussa alani
tanta madiba
faiza fox
simiyu yetu
rich pol
big show
nyote mna karibishwa (UKAWA)
Lazima kwanza wakatubu sana Hawa wamekula pesa za Marehemu Gadafi toka Kwa Membe huku wakijua kuwa hizo pesa ni Harumu na Pia zilimpoteza marehemu balozi wa Libya ili kuficha ushahidi wa Mali na pesa zote. Wakatubu sana kisha wamlaani Membe Kwa kuwalea Kwa pesa haramu na kuwafundisha uchonganishi na Fitna za kila aina huku akiwa amewaacha wakiwa mafisadi wakubwa kutokana na kuwajaza mapesa mengi sana.