Lema: Nitamburuza Mkuu wa Mkoa mahakamani

Lema: Nitamburuza Mkuu wa Mkoa mahakamani

Hapa sijui Mulongo atalazimika kwanza kujiuzulu? Na pia huyu si atakuwa ametumia vibaya ofisi ya Umma
 
Yani tuna hasara sana na huyu RC mjinga asiye na elimu ya darasani.


Peleka hiyo houseboy mahakamani, Mkuu wanasheria wa Lema waikalie waisuke kiukweli. Na ushahidi wa video upo na wanafunzi wako tayari kutoa ushahidi wao live. Ondoa hili houseboy Arusha, hana hadhi ya kuwaongoza wana arusha.
 
Kamanda Lema fungua kesi.Hii si kesi ya kupuzia maana ni ya wazi kuwa viongozi wa serikali wanatumika kisiasa.Hiyo video iwekwe wazi na SMS iliyojaa ushaidi wa ubambikiziaji kesi.Nawasihi Chadema waanzie hapa maana huu ndio utakuwa mwanzo wa kuijuza jamii juu ya mikakati ya wazi ya MAGAMBA dhidi ya CHADEMA.
 
ushauri wa bure wa huyu ndugu mheshimiwa,kazi kubwa ya mbunge ni kuchukua kero za wananchi na kuzipeleka bungeni kwa namna ya kufanya serikali izitatue,sasa hayo anayofanya ni umbulula wa hali ya juu,anapaswa aheshim wapiga kura wake,anapoteza muda tu,asubiri hukumu yake.

anafanya kazi yake vizuri mno! Ubambikiziaji kesi unaofanywa na vyombo vya dola ni tatizo sugu tz ambalo mh ana address sasa! Wenye akili kama waarusha wanalijua hilo
 
Alitaka 'kumrubuni' hata mke wa Lema?apelekwe mahakamani haraka huyu 'murongo' aisee!
 
Chezea Chadema wewe! Usalama wa CHADEMA unatisha kuliko usalama wa taifa mara mia.
 
kama kweli alitumiwa sms za vitisho anayo haki ya kumpeleka mahakamani for sure

Ila pia ndugu zangu tukumbuke mpaka sasa Lema hakuna kitu anafanya Arusha tofauti na fujo. Ni muda sasa wa yeye kukaa na kufanya yale alotuhaidi. Maana hata hivyo miaka mitano ishafikia nusu yake hapa

kubuka hakuwepo kwa zaidi ya mwaka mmoja na nusu
 
Nimenasa hii kuwa CHADEMA wameshauriana na mpaka sasa wamefikisha jumla ya mashtaka tofauti tofauti TISAya kumshtaki mkuu wa mkoa wa Arusha. Mojawapo ambalo nimesikia Tundu lissu amelikamata yeye mwenyewe ni kitendo cha mkuu wa mkoa kulazimisha polisi wamsweke ndani Mhe Lema (forced prisonment). Kosa na shtaka analodaiwa kulifanya Mhe Lema lina dhamana lakini kwa shinikizo la mkuu wa mkoa. ushahidi wa jambo hili utatikisa hasa baada ya rekodi ya mazungumzo hayo kunaswa kwenye moja ya vikao.
ni UNLAWFULL DETENTION bana au False accusation.

Hiyo false inprison ya wapi tena?
 
kama kweli alitumiwa sms za vitisho anayo haki ya kumpeleka mahakamani for sure

Ila pia ndugu zangu tukumbuke mpaka sasa Lema hakuna kitu anafanya Arusha tofauti na fujo. Ni muda sasa wa yeye kukaa na kufanya yale alotuhaidi. Maana hata hivyo miaka mitano ishafikia nusu yake hapa

Najua ulitaka ajenge barabara za lami, Shule nzuri, hospitali nzuri nk. Hata hivyo, hiyo siyo kazi yake. Hiyo ni kazi ya Serikali inayokusanyakodi, yeye hana pesa za kufanya hayo na siyo kazi za Mbunge. Kazi ya kuwatetea wananchi anazofanya ndiyo moja ya kazi ya msingi kabisa.
 
Kamanda Lema fungua kesi.Hii si kesi ya kupuzia maana ni ya wazi kuwa viongozi wa serikali wanatumika kisiasa.Hiyo video iwekwe wazi na SMS iliyojaa ushaidi wa ubambikiziaji kesi.Nawasihi Chadema waanzie hapa maana huu ndio utakuwa mwanzo wa kuijuza jamii juu ya mikakati ya wazi ya MAGAMBA dhidi ya CHADEMA.
 
huyu mulogo hata rpc kashamgeuka na mmaccm yanadai anazidi kuwaharibia. Aibu yake mwenyewe
 
Kweli hali imekuwa mbaya.
Siwaoni kina Sumu @atogwele Ritz M23 mkubwa wao ZeMarcopolo, Lukosi, Nahio na kampani yao kiujumla. Sio kawaida yao kuacha post ifike mpk hapa bila kuingilia kati na pumba zao.
 
Last edited by a moderator:
CHADEMA wanapigania ukombozi wa pili wa taifa hili, Wanatetea maslahi ya taifa zima ambayo yanaliwa na mkoloni mweusi ccm, swala la kupewa kofia,tshirt,kanga, vizawadi vya hapa na pale na vijisenti vya kununulia pombe ili upate sifa eti wewe ni mgawaji sana, Chadema halipo. CHADEMA haitafuti sifa ya leo bali maslahi ya taifa hili kwa vizazi vijavyo yako wapi. NI HERI VITA INAYOTAFUTA HAKI NA AMANI YAKO WEWE NA VIZAZI VYAKO VIJAVYO, KULIKO AMANI NA MISAADA INAYOPUMBAZA NA KUDHALILISHA UTU WA MWANADAMU! Badilika
 
Alitaka 'kumrubuni' hata mke wa Lema?apelekwe mahakamani haraka huyu 'murongo' aisee! Pia hapa inabidi na takukuru wajulishwe...
 
Mahakani siyo issue, ka vipi kamanda ampotezee tu..Amshitaki kwenye "mahakama ya Umma"
jino kwa jino, ahamasishe zomea zomea ya ukweli kila atakapoonekana huyo HouseBoy...

CV yake inaonesha kuwa amefanya kazi ya house boy kwa miaka mingapi na wapi?
 
Ushauri wa bure wa huyu ndugu mheshimiwa,kazi kubwa ya mbunge ni kuchukua kero za wananchi na kuzipeleka bungeni kwa namna ya kufanya serikali izitatue,sasa hayo anayofanya ni umbulula wa hali ya juu,anapaswa aheshim wapiga kura wake,anapoteza muda tu,asubiri hukumu yake.

Hizo kero za wananchi wa Arusha ,Lema amekuachia wewe uzipeleke wewe, Lema ameona wewe ndo unafaa mwanaizaya weye ucye na haya katika mambo haya
 
Ushauri wa bure wa huyu ndugu mheshimiwa,kazi kubwa ya mbunge ni kuchukua kero za wananchi na kuzipeleka bungeni kwa namna ya kufanya serikali izitatue,sasa hayo anayofanya ni umbulula wa hali ya juu,anapaswa aheshim wapiga kura wake,anapoteza muda tu,asubiri hukumu yake.

Naona unamuombea msamaha,atajuta mwaka huu,kamwaga mboga,Lema kamwaga ugali,kachangua mafiga na kuni kaziloweka!mwambie mulongo ajiandae kufungwa
 
Ushauri wa bure wa huyu ndugu mheshimiwa,kazi kubwa ya mbunge ni kuchukua kero za wananchi na kuzipeleka bungeni kwa namna ya kufanya serikali izitatue,sasa hayo anayofanya ni umbulula wa hali ya juu,anapaswa aheshim wapiga kura wake,anapoteza muda tu,asubiri hukumu yake.

Kwani serikali hawazijui kero hizo? Hebu toa ushauri kwa serikali inayohangaika kupambana na wapinzani badala ya kuhangaika na kero za wananchi.
 
Back
Top Bottom