yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,104
ok-kwasababu agenda zenu zilikuwa za kusubiria makosa ya ccm na kwa kuwa ninyi sasa mmeonyesha udhaifu mkubwa kuliko hata hao CCM(kwa kukosoa ambayo kumbe hata ninyi hamyatekelezi) sijui mtakuja na Agenda gani. Hata hivyo dukuduku letu tungetamani mtutaarifu lini Uchaguzi ndani ya Chama, Lini mtawasilisha kwa CAG mahesabu ya Chama, hatua iliyofikiwa ya Retirement ya 80m alizochukuwa Mbowe kwa ajili ya ununuzi wa vifaa mbalimbali vya M4C(machapisho), ununuzi wa magari ya M4C nje ya taratibu za Tender Board, nafasi ya MSHUMBUSI ndani ya Chama-je ni volunteer, first lady, au consultant na ni nani ambaye huidhinisha malipo makubwa kwa hawala huyu wa Kigogo
hayo yote yalishajibiwa dada yangu..unatamani uwe hawala wa dr.