Lema, Nassari kufunika kesho Arusha!!!

Lema, Nassari kufunika kesho Arusha!!!

Hakuna Jipya watakalolileta kama kawaida yao, sana sana Mipasho tu, wananchi wa Arusha wameshawachoka hawa wahuni.

Kwani mkutano wa ole sendeka na chatanda walikuwa na mpya gani? Mbunge kuongea na wapiga kura wake na kuwapa mrejesho wayaliyojiri bungeni ni haki yake ya msingi
 
Si habari nzuri kwa CCM ,ila ndio hali halisi.
CCM imekuwa kama chama pinzani kukabiliana na CDM badala ya kuwaletea maendeleo wa Tanzania.
2015 will tell!Subirieni


Kiukweli ccm wanatia huruma sana kwa sasa.... Wanapoteza nguvu zao nyingi kupambana na cdm utafikiri cdm ndio iko madarakani! Wao kama wamefanya mazuri kwa wana wa nchi yao watulie manake watalipwa kutokana na matendo yao!
 
Sombetini tunataka kujua hatma ya uwakilishi wetu halmashauri,
Hatuna diwami huu ni mwaka wa tatu na zaidi,
 
Kwani mkutano wa ole sendeka na chatanda walikuwa na mpya gani? Mbunge kuongea na wapiga kura wake na kuwapa mrejesho wayaliyojiri bungeni ni haki yake ya msingi

Walivyochomwa na jua la pale stadiun bar leo hawatakaa warudie tena..... Yaani nilipita maeneo hayo nikawahurumia!
 
SIFA ZA MAKAMANDA WA CHADEMA,

1. Kuwa mtiifu kwa mboe na slaa
2. kubali chochote wakisemacho hata kama utumbo
3. usijaribu kuhoji matumizi ya ruzuku kama chacha wangwe
4.mchukie kila anayechukiwa na mboe pamoja na slaa
5.usifungue mdomo pale unapoona katiba inakiukwa na demokrasi ndani ya chama ikiminywa


itaendele
a
 
Hakuna Jipya watakalolileta kama kawaida yao, sana sana Mipasho tu, wananchi wa Arusha wameshawachoka hawa wahuni.

Halafu tulidhani we leo utarusha live mkutano wa magamba ikawaje?

Arusha ni wimbo ni moja tu Peoples Power!!!!
 
SIFA ZA MAKAMANDA WA CHADEMA,

1. Kuwa mtiifu kwa mboe na slaa
2. kubali chochote wakisemacho hata kama utumbo
3. usijaribu kuhoji matumizi ya ruzuku kama chacha wangwe
4.mchukie kila anayechukiwa na mboe pamoja na slaa
5.usifungue mdomo pale unapoona katiba inakiukwa na demokrasi ndani ya chama ikiminywa


itaendele
a

Ona huyu kilaza wa lumumba!.... Hata usemeje haturudi nyuma, tunasonga mbele tu..... Nyie pigeni kelele mkichoka mtalala
 
Baada ya ccm kuambulia watu 23 kwenye mkutano wao wa leo maeneo ya uwanja wa stadium bar ... Mkutano ambao wananchi wa arusha wameufananisha na kikao cha send off....


Pole nyingi kwa Ole sendeka na Mary Chatanda manake wamekuwepo eneo la mkutano toka sa 5 asubuhi bila kuambulia watu wa kuwahutubia! Kilichoshuhudiwa ni wacheza ngoma wakikata mauno ili kuwavutia watu bila mafanikio....... Hii ndio Arusha bwana peoplessssssss ndio habari ya wakaazi wa arusha!!! Hii maana yake ni kwamba arusha bila ccm inawezekana / ilishawezekana!


Chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kitafanya mkutano mkubwa kwenye uwanja wa Ngarenaro kesho kuanzia saa 10 jioni...... Wasemaji wakuu ni makamanda wetu wa ukweli Godbless Lema, Nassari Joshua, Nanyaro Ephata, Amani Golugwa pamoja na makamanda wengine wengi!

Kama kawaida kutakuwepo na makamanda watakaotupatia kwa ufasaha kinachoendelea kutoka eneo la mkutano (live bila chenga).......... Habari ziwafikie Mungi, Crashwise, Arushaone, Filipo, Ben Saanane, Fidel80, Erickb52, Masanilo na wengine wengi!

Kama kawaida arusha ni peoplessssssssss mwanzo mwisho!!

Nawasilisha!

Asante sana SweetyLady kwa taarifa nzuri sana!
Tahadhari!!
DVR Ifungwe kila kona ya uwanja maana magambaz nao watakuja na chinese product kama soweto
 
Last edited by a moderator:
Asante sana SweetyLady kwa taarifa nzuri sana!
Tahadhari!!
DVR Ifungwe kila kona ya uwanja maana magambaz nao watakuja na chinese product kama soweto

Mkuu technology ipo juu karne hii. Mtu anaweza ku monitor system kutoka marekani......
 
Hivi Tanzania ni stendi ya vifodi au sakina.
 
Haya kazi njema.ila mkimgusa tu zitto tutapambana tena humuhumu ndani pia msisahau kuchangisha hela kwa ajili ya huduma za yericko kule lupango.
''chadema mchakamchaka hadi 2015''
 
Back
Top Bottom