Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
source please
Wabongo kwa kukremu!
Nilifikiri ungeuliza "evidence please".
source please
Crashwise, Mungi, Nanyaro Ephata, Arushaone, sweetlady, Tafadhali leteni taarifa kamili ya suala hili,,,Ninyi ni wafuatiliaji wazuri wa siasa za Arusha!
Usikute huyu ni agent na mfaidika wa mfumo kandamizi!
Shamba aliloomba lema kwa ajili ya kujenga hospital ya wazazi amejimilikisha kwa jina lake mbali na trector alilosema atawakabidhi wakulima wa terati.hati ya kiwanja hicho ntaiweka hapa nafuatilia hapa muda sio niko halmashauri ya arumeru nafuatilia.
.Ngoja nikupe kipande kingine ambacho ulikuwa hujui kabisa,hivi unajua mchakato wa kumpata mgombea udiwani kata ya Daraja II Bwana Msofe taratibu za chama ziliwekwa kando kwakuwa mgombea alivuta kidogo dogo toka kwa kamanda wako ?
Hapa Logic haiji kabisa...Mgombea alivuta kidogodogo, au LEMA ALIVUTA KIDOGOGODO?..Mkuu naamini hujajipanga sawasawa, kaanze upya.
Nijuacho mimi ni kwamba chama ndicho kilimpitisha mgombea udiwani, na si kwamba Lema walikaa na Msoffe pale Olduvai Bar!
Hivi unajua mgombea udiwani kata ya Daraja II alifukuzwa kazi TRA kwa makosa ya rushwa na wizi ?.
Naamini majina yote yanahakikiwa kabla ya kupitishwa, na kama ingekuwa hivyo mgombea pinzani angeweka PINGAMIZI, na hivyo Msoffe asingebakizwa.
Acha Fitna mkuu mwenzangu...nilitegemea sasa hivi umekubali kuwa ligi zako hazina tija!
By ze way, Leo ni Ijumaa, mzee mwenzangu uko wapi aisee tukae kama kamati?...
Shamba aliloomba lema kwa ajili ya kujenga hospital ya wazazi amejimilikisha kwa jina lake mbali na trector alilosema atawakabidhi wakulima wa terati.hati ya kiwanja hicho ntaiweka hapa nafuatilia hapa muda sio niko halmashauri ya arumeru nafuatilia.
Naamini majina yote yanahakikiwa kabla ya kupitishwa, na kama ingekuwa hivyo mgombea pinzani angeweka PINGAMIZI, na hivyo Msoffe asingebakizwa.
Acha Fitna mkuu mwenzangu...nilitegemea sasa hivi umekubali kuwa ligi zako hazina tija!
By ze way, Leo ni Ijumaa, mzee mwenzangu uko wapi aisee tukae kama kamati?...
Shamba aliloomba lema kwa ajili ya kujenga hospital ya wazazi amejimilikisha kwa jina lake mbali na trector alilosema atawakabidhi wakulima wa terati.hati ya kiwanja hicho ntaiweka hapa nafuatilia hapa muda sio niko halmashauri ya arumeru nafuatilia.
Mkuu PakaJimmy,
Napenda kukujulisha mgombea udiwani wa CDM kata ya Daraja II aliwahi kufanyakazi TRA kituo chake cha kazi kilikuwa mkoa wa Tanga.Baada ya kutuhumiwa kwa makosa ya rushwa muda mrefu alihamishiwa Ngara kwakuwa hapakuwa na ushahidi wa moja kwa moja.Alipohamishiwa Ngara hakuaacha tabia zake za kuomba na kupokea rushwa akafukuzwa kazi ushahidi upo.
Mwaka huu anagombea udiwani kwa tiketi ya CDM makosa yake yote ya rushwa yametakaswa ?.Halafu mnasema mnataka kuwakomboa waTanzania ?.
Mkuu PakaJimmy,
Napenda kukujulisha mgombea udiwani wa CDM kata ya Daraja II aliwahi kufanyakazi TRA kituo chake cha kazi kilikuwa mkoa wa Tanga.Baada ya kutuhumiwa kwa makosa ya rushwa muda mrefu alihamishiwa Ngara kwakuwa hapakuwa na ushahidi wa moja kwa moja.Alipohamishiwa Ngara hakuaacha tabia zake za kuomba na kupokea rushwa akafukuzwa kazi ushahidi upo.
Mwaka huu anagombea udiwani kwa tiketi ya CDM makosa yake yote ya rushwa yametakaswa ?.Halafu mnasema mnataka kuwakomboa waTanzania ?.
Jamani hii huu ufisadi utaisha lini Lema ebu jaribu kuwa na roho ya huruma rudisha shamba la wana Arusha
Hivi wewe unajua process za kubadilisha hati milika za shamba?! Hivi unafikiri ni rahisi kihivyo kama mnavyouziana VITUNGUU hapo Usa river?
Hii habari kapeleka kwenye vijiwe vya kahawa at least huko they can buy it sio JF a home of GTs
Kama yupo kwenye mioyo ya watu basi wameache tu afanye ufisadi wa shamba la wakazi wa Arusha.