Usiweke hati ya kiwanja tu, weka na hati inayoonyesha kuwa sasa Lema ndiye mmiliki wa shamba hilohilo...vinginevyo utakuwa unatumika kinyume na na na ukweli!Shamba aliloomba lema kwa ajili ya kujenga hospital ya wazazi amejimilikisha kwa jina lake mbali na trector alilosema atawakabidhi wakulima wa terati.hati ya kiwanja hicho ntaiweka hapa nafuatilia hapa muda sio niko halmashauri ya arumeru nafuatilia.
Shamba aliloomba lema kwa ajili ya kujenga hospital ya wazazi amejimilikisha kwa jina lake mbali na trector alilosema atawakabidhi wakulima wa terati.hati ya kiwanja hicho ntaiweka hapa nafuatilia hapa muda sio niko halmashauri ya arumeru nafuatilia.
Mtu na akili zake, bila kutumia hata dakika mbili kuwaza keshaamini kuwa ni kweli jambo hilo limetokea...my hairs!Jamani hii huu ufisadi utaisha lini Lema ebu jaribu kuwa na roho huruma rudisha shamba la wana Arusha.
Ebu nipe ufafanuzi maana naona kama taarifa yako ina hitilafu1. Mtu anapoomba shamba huwa ni kwa ajili ya kujenga au kulima?2. Lema alikuwa mbunge wa Arusha mjini au Arumeru?3. Hicho kiwanja kipo Arumeru au Arusha mjini?4. Unapozungumzia wazazi ni akina mama wanaojifungua au Jumuiya ya wazazi?5. Kama ni Jumuiya ya wazazi ninavyojua mimi ipo ndani ya CCM Lema anahusika vipi na jumuiya hiyo?6. Unaweza kutuwekea hatia ya kiwanja na ikaonyesha jina la Lema, Je tutakuwa na uhakika gani na taarifa yako? inawezekana lengo lako ni kumchafua tu na hicho kiwanja ni mali yake.Shamba aliloomba lema kwa ajili ya kujenga hospital ya wazazi amejimilikisha kwa jina lake mbali na trector alilosema atawakabidhi wakulima wa terati.hati ya kiwanja hicho ntaiweka hapa nafuatilia hapa muda sio niko halmashauri ya arumeru nafuatilia.
Leo huendi kuandamana?Jamani hii huu ufisadi utaisha lini Lema ebu jaribu kuwa na roho ya huruma rudisha shamba la wana Arusha
Umetumwa?
Jamani hii huu ufisadi utaisha lini Lema ebu jaribu kuwa na roho ya huruma rudisha shamba la wana Arusha
Leo huendi kuandamana?
wenzako wameshanoa majambia yao....au hako kaposho ka NAPE kanakutosha huna hasira na kukamatwa kwa Mhalifu Ponda?
Dr anafanya mambo ya hatari huko Kanda ya Ziwa, hadi kuna baadhi ya vigogo wamelazimika kurudi kwao kushuhudia maumivu!...we endelea kungoja maandamano...saasa hivi ni kimyakimya!Mie nasubiri maandamano ya Dr Slaa, tutakuwa wote au wewe utakuwa umejificha nyuma ya Laptop.