Mtu na akili zake, bila kutumia hata dakika mbili kuwaza keshaamini kuwa ni kweli jambo hilo limetokea...my hairs!
Ni kama ile reaction ya Ikulu juu ya Ighondu!
Anyway, tutafika tu!
Mie nasubiri maandamano ya Dr Slaa, tutakuwa wote au wewe utakuwa umejificha nyuma ya Laptop.
Ametumwa na wakazi wa Arusha Mjini.
Jamani hii huu ufisadi utaisha lini Lema ebu jaribu kuwa na roho ya huruma rudisha shamba la wana Arusha
Ritz! Anaitwa John Lema unamfahamuJamani hii huu ufisadi utaisha lini Lema ebu jaribu kuwa na roho ya huruma rudisha shamba la wana Arusha
Nenda kawasaidie wenzako.....mkamtoe yule jamaa aliyeenda mahakamani peku jana.Mie nasubiri maandamano ya Dr Slaa, tutakuwa wote au wewe utakuwa umejificha nyuma ya Laptop.
Sasa unapost huku tukusaidie nini? nadhani hili ni suala la mahakama, nakushauri mtafute Alute Mughway mkafungue kesi ya kutapeliwa JF hakuna jukwaa la mahakama, peleka unafiki wako huko kibaraka mkubwa wa wanyonyaji wa taifa hili.
Nenda kawasaidie wenzako.....mkamtoe yule jamaa aliyeenda mahakamani peku jana.
Kila thread ungekuwa unahoji hivi JF ingekuwa mbali au wewe unahoji kwa Lema tu...mwambie arudishe kiwanja.
Aisee, huyu ndio nani?
Don't worry about me........Wewe wenzako kina nani?
Jamani hii huu ufisadi utaisha lini Lema ebu jaribu kuwa na roho ya huruma rudisha shamba la wana Arusha
Jamani wafitini wa arusha,....hivi kwanini hamtaki kuamini kua LEMA yupo kwenye mioyo ya watu?.??? Ni ufitini tu,LEMA mtu makini sana.ngoja tusubiri hiyo document yake iliyokaa kibatilda.
nijuavyo mimi Lema ni ukoo ,kama ilivyo mushi ,massawe,nkya,swai nk.Huyu ni lema ganiJamani hii huu ufisadi utaisha lini Lema ebu jaribu kuwa na roho ya huruma rudisha shamba la wana Arusha
Aisee, huyu ndio nani?
Ukiwa mfuasi wa Chadema sijui kwa nini unakuwa na upofu, Lema aliomba shamba kwa ajili ya kujenga hospitali ya wazazi, watu wanahoji mbona hakuna hospitali na kiwanja kajimilikisha, wakazi wa Arusha wanaitaji kujua shamba lao.
Huyo ni msanii kama wasani wenzie wa CHADEMA.
By the way wajinga ndio waliwao.