johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema anesema hivi karibuni atatoa Onyo kali kwa January Makamba
Lema akiwa amepost picha aliyopiga Yeye, January Makamba na Nape Nnauye wakijadili jambo msibani kwa Membe amesema January ni Waziri siyo First born wa SSH hivyo kiburi chake kitashushwa
Lema ametoa angalizo hili kupitia ukurasa wake wa twitter
Hatari na nusu!
=========
Lema akiwa amepost picha aliyopiga Yeye, January Makamba na Nape Nnauye wakijadili jambo msibani kwa Membe amesema January ni Waziri siyo First born wa SSH hivyo kiburi chake kitashushwa
Lema ametoa angalizo hili kupitia ukurasa wake wa twitter
Hatari na nusu!
=========