Hapo kwenye red, muwe mnafikiria kwa uangalifu hata kama hamuipendi CCM!!!! Siyo kweli kwamba CCM ndo wanastahili kulipa gharama za kesi...... Anayestahili kulipa ghama za kesi ni yule aliyefungua kesi!!!! Kama ulivyoripoti kwenye picha, hao kina mama waliofungua kesi ndo watalipa gharama. Sahihisha hapo....
sawa mkuu lakini unadhani walijituma hao!!??
Yametimia, haki ya mtu haipotei!
SAWA mkuu japo ingependeza kama ungetwambia mbali na mahakama ni department gani nyingine iko makini katika nchii hii kwa sasa!
husilolijua huwa nizaidi hata ya usiku wa giza.
Lema is back.Sasa CCM wana
kibarua tena.Waziri Mkuu alidnaganya bunge, kila mtu alisikia hoja za
Lema na ilikuwa wazi waziri mkuu alidanganya, ama kw akupenda au kwa
kutojua ila alidanganya na alikuwa na kiburi kibaya ktk majibu yake.Je
kajiandaa kung`atuka?
Na aking`atuka CCM na baraza la mawaziri kuvunjwa, je CCM wanaye tena
wabunge wa kutosha kuwa mawaziri?Au watahitaji kuwarudisha hao hao?
Sijui kama CCM wa pa kutoke aili nchi itawalike.
kwani hao kinamama na hiyo mijitu mingine walitumwa na nani, makamba alitoa maagizo mchana kweupee tena kwa press conference kwamba kesi za kupinga matokeo zifunguliwe na ccm itagharamia
sahihisha bandiko lako
Kwenye maombi kumshukuru Mungu wetu, Peoplessssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss!!TBL please ongezeni supply ya kutosha bar zote hapa Arusha tukitoka makazini tunahamia hukoo
Be specific...... Aliyeripoti taarifa hii alikuwa akituletea ujumbe jinsi mahakama ilivyosema.... Je, katika hukumu ya mahakama ya rufaa, kuna sehemu CCM wameamriwa kulipa gharama? Na je, na hao kina mama wanaiwakilisha CCM ama ni wake zake makamba walikuwa wanamuwakilisha?Kwenye hati ya mashitaka CCM ndo walikuwa walalamikaji? Na kwa nini unamtaja Makamba? Kuwa realistic!!! Sema ama ripoti kama statement ya hukumu inavyosema na acha kupotosha umma ama kutuaminisha kitu ambacho hakipo!!!! Ina maana hayo maneno unayosema ya chuki kwa mfano, unataka niamini ukisema wewe na mkeo kayasema hayohayo? Nitakuwa niko sahihi????? Think twice acheni chuki na CCM inayowalea mpaka sasa mnapata nguvu za kuitukana.
Tetesi eti wamekata tena rufaa.
Tetesi eti wamekata tena rufaa.