Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Hongera na wewe kwakuwa muungwana..... na kuandika vizuri.

Huyo jamaa yako Riz 1 niliahidi humu kutochangia chochote toka kwake, ila nataka nimhakikishie kuwa ni kweli J.K ameingilia hii case, kabla ya hukumu hii, iliisha tamkwa kua, madhara ya Lema kua nje ya Bunge kwa nyinyiem ni makubwa zaidi kuliko alivyo kua Mbunge, imeonekana ni bora mahakama iangalie zaidi sheria zilivyo ili nyienyiem iwe na uafadhari zaidi, kwani huyu jamaa hakusikia Lema alipania mwaka ujao ni jumba kwa jumba, kifo chake au Watanzania waeleweshwe, hilo lilikua tishio kwa magamba.
 
Siku zote HAKI haibakwi...Kamanda Lema rudi mjengoni kawapelekeshe bi kiroboto na wenzake,Aisee nikapige gwanda langu jipyaaaaaaaaaaa kwa raha zetu Makamanda....Hakika tulianza na Mungu na tumemaliza na Mungu....Insha Allah!!!
 
Mkuu LiverpoolFC upooooooooooooooo...Pipoooooooooooooozi.......
 
Right time to north, Wrong time to South. more to come..
 
Ungepost mwenendo mzima wa kesi namna ilivyokuwa

ni darasa la kiukweli Kaka....
 
Pro-Chadema bana JK ni rais bora, angalieni Chadema mmeshinda kesi ngapi mahakamani? JK Rais wa nchi hawezi kuingilia uhuru wa mahakama hata siku moja.

chadma wanashinda kesi kwa kuwa wana akili kuliko huyo aliyeko magogoni
 
LEMA LEMA LEMAAaAAAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
LEMA LEMA LEMAAaAAAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
LEMA LEMA LEMAAaAAAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

No Flood PLS
 
Leo mahakama imefurika mapema, hali ya hewa ni nzuri,

Updates:

- Bado hukumu haijaanza kusikilizwa, nyuso za wakombozi zimejaa bashasha. Hii ni dalili nzuri kwa kupokea matokeo!

- Viongozi wote wachadema ndio (Mh Mbowe na waambata wote) wanaingia, watu pipooooziii

- Kamanda Lissu ndio anaingia watu pipooziiii

- Naaam kamanda, Ben Saanane ndio anaingia. Sasa kazi mtindo mmoja, ukombozi unakaribia

- M/kiti wa Bavicha Heche ameshawasili eneo la tukio. Bado tunawasubiri majaji tu

More Updates:

- Tumeamriwa kuzima simu zote, sasa majaji wanaingia,

- Kwanza hukumu inaanza kusomwa!

- Kwanza inasomwa historia ya kesi hii, tukio kwa tukio

- Mtanisamehe sitaripoti kila kinachotamkwa na msoma hukumu, naripoti yale muhimu tu, mfano vifungu vinavyo muingiza au kumtoa mrufani na hitimisho la mahakama tu!,

- Mahakama imejiridhisha kuwa madai ya udharirishaji hayakuathiri uchaguzi wala mlalamikaji (CCM)

Tumeshindaaaaa!

Tangu sasa Lema ni mbunge halali wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema,

CCM wameamriwa kulipa gharama za kesi hii tangu ilipofunguliwa mpaka ilipoishia!
Tunashukuru mkuu kwa taarifa hii nzuri sana, hilo CDM imelipangua waje na lingine!!! Peoplesssssssssssssssssssssssss!!!!!

 
Back
Top Bottom