Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Hivi kuna kesi ambayo Mh. Tundu Lisu aliisimamia akashindwa!!! Hongera sana Lema!
 
Harlod Macmillan alisema, upepo wa mabadiliko unapokuja, hakuna mtu wa kuzuia. Mahakama wameanza kutenda haki, polisi watafuata na hata Tume ya Uchaguzi itawaweka Ikulu wakombozi wa Taifa hili "Mfu" katika uchumi wa dunia ya leo,naam, CDM itachukua nchi. Asante Mungu!!
 
"JMBO LA ARUSHA LINAINYIMA SERIKALI YANGU USINGIZI....HAPANA....HAPANA...LAZIMA TUFANYE KITU PALE....!!! "

waziri-mkuu-mizengo-pinda.jpg

haaahaaahaaahaaaaaaaa.pipooooooooooooooooz!!!
 
Mkuu unavyoweka List yote namna hiyo unatupa matatizo makubwa sisi tunaotumia simu. Kuwa muungwana japo kidogo kwa wenzio.
 
Niko kivulini bar ninasheherekea sambamba na kupata kiwanja kikubwa cha kujenga compex kubwa itayojulikana kama GODBRESS LEMA COMPLEX huko Ilolo karibu na mnadani njia ya kwenda kibakwe jimbo la Simbachawene. Nimegawiwa leo hiihii.
 
Leo mahakama imefurika mapema, hali ya hewa ni nzuri,

Updates:

- Bado hukumu haijaanza kusikilizwa, nyuso za wakombozi zimejaa bashasha. Hii ni dalili nzuri kwa kupokea matokeo!

- Viongozi wote wachadema ndio (Mh Mbowe na waambata wote) wanaingia, watu pipooooziii

- Kamanda Lissu ndio anaingia watu pipooziiii

- Naaam kamanda, Ben Saanane ndio anaingia. Sasa kazi mtindo mmoja, ukombozi unakaribia

- M/kiti wa Bavicha Heche ameshawasili eneo la tukio. Bado tunawasubiri majaji tu

DSC00029.JPG

Lema, Mbowe na Mnyika wakiwa Mahakamani

DSC00031.JPG

Hawa ndo waliofungua kesi

More Updates:

- Tumeamriwa kuzima simu zote, sasa majaji wanaingia,

- Kwanza hukumu inaanza kusomwa!

- Kwanza inasomwa historia ya kesi hii, tukio kwa tukio

- Mtanisamehe sitaripoti kila kinachotamkwa na msoma hukumu, naripoti yale muhimu tu, mfano vifungu vinavyo muingiza au kumtoa mrufani na hitimisho la mahakama tu!,

- Mahakama imejiridhisha kuwa madai ya udharirishaji hayakuathiri uchaguzi wala mlalamikaji (CCM)

Tumeshindaaaaa!

Tangu sasa Lema ni mbunge halali wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema,

CCM wameamriwa kulipa gharama za kesi hii tangu ilipofunguliwa mpaka ilipoishia!



Picha baada ya ushindi:
DSC00054.JPG

DSC00067.JPG

DSC00078.JPG

mambo ya binadamu hayo mböa baridaaaaaaaaaaaa
 
PEOPLESSSSSSSSSSSS ebana LEMA ni jembe sasa lukuvi atasemaje tena maana hoja za lema sinarudi bungeni live
 
ushindi wa rufaa hii imeonesha jinsi gani mahakama haiko makini.Mwanzo alivuliwa ubunge sasa hv amerudishwa ina maana mwanzon walikua hawajui wanachokfanya wamezungusha sana chombo hcho ni dhaifu kijpange upya
 
Hakika kura yangu iliyochangia kumweka LEMA madarakani haijapotea, hongera kamanda Lema na makamanda wengne wote.
 
Kwa furaha niliyonayo pamoja na watu wote wa Chadema nashindwa hata ni comment nini zaidi ya kusema Mungu wetu ni Mungu wa haki na ameirudisha haki ya msingi kwa mji wa Arusha. Sasa wale madiwani waliofukuzwa na kufanya sherehe baada ya Mh. Lema kuvuliwa ubunge wapo wapi...nimepita sana mitaa yao leo sijaona hata upepo...Peoples Power
 
ushindi wa rufaa hii imeonesha jinsi gani mahakama haiko makini.Mwanzo alivuliwa ubunge sasa hv amerudishwa ina maana mwanzon walikua hawajui wanachokfanya wamezungusha sana chombo hcho ni dhaifu kijpange upya

No,sio kutokuwa makini judiciary as a whole, ndio maana kuna hierarchy of courts
 
Demokrasia Tanzania inazidi kupata mwelekeo mpya, wanachama wa vyama vya siasa wanapaswa kuwa makini sio kukurupuka na ushabiki utakao waingiza matatani kama hawa wa magamba
 
Back
Top Bottom