Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Separation of power checks&balance ni kitu muhimu sana ktk nchi yeyote ya kidemokrasia!
 
Ninachoamini mimi ni kwamba haki ya mtu huwezi zuia utaichelewesha tu. Hata dhuluma zote wanazofanyiwa watu wasio na hatia ipo siku wahusika watasimama mbele ya waliowatendea kuzijibu na kuhukumiwa nao.Nawopongeza majaji kwa kazi nzuri kwakuwa mmerudisha hadhi ya mahakama kuu.MAHAKAMA KUU ni mahali patakatifu sio pamchezo kama watu wanavyozani.Tuweke mbali tofauti za kisiasa turudishe heshma ya Taifa letu
 
here are currently 2655 users browsing this thread. (1127 members and 1528 guests)
 
huyu Jaji Lwakibalila aliyetoa hukumu hii ametia aibu (na wengi waliliona hilo tangia awali) kwa watu wa kanda ya ziwa ambao tangia mwanzo walijulikana umahili wao katika mambo ya sheria.
 
Pamoja sana..
Nimekutana na makamanda wanaandamana Kinondoni Makaburini wakielekea makao makuu ya CDM. Tunataka M4C kuanzia sasa ili kueneza habari njema ya ukombozi.
 
Dogo anasherehekea X-mass na mwaka mpya kwa mguu wa kulia. hongera Lema, Viva CDM

DSC00029.JPG


Umeona hapo majembe yakiwa mahakamani yakifuatilia ushindi dhidi ya dhuruma ya magamba
 
mpka sasa wameshazidi hiyo idadi... nadhani NEC yote ya kinana pamoja na PM7 watakuwa wanafaitilia sana hii thread maana ni pigo kwao

There are currently 2229 users browsing this thread. (1025 members and 1204 guests)
 
Hakika saa ya ukombozi imefika. Hongera kamanda Lema. Hongera Chadema. People's power! Asante Mungu kwa matokeo haya.
 
Hakika vita vya ukombozi ndio kwanza inaanza hongera sana kamanda LEMA.
 
Sasa kazi moja tu, UKOMBOZI kwa raia wa nchi. Huku kitaa life gumu cna. Leo na kuendelea...Piii...poo...zi... Pa...wa....
 
sasa kazi iliyobaki lema ni kuwatumikia wana arusha kwa moyo wako wote kwasas arusha kuna kero kubwa ya machinga kunyanyaswa na mgambo hii yote ni kutokana kuwa na mapenzi na wewe...sasa naomba uanze kutatua kero hii..uhakikishe wana pata pa kufanyia biasgara na siyo nmc pale hapatoshi wana teseka mama zetu...

aksante baba, jembe lema anaaminika, nimeshakutwanga like yangu
 
Back
Top Bottom