Makamanda vipi leo JK ajaingilia hii kesi? Siku zote Rais wetu JK atabaki kuwa Rais makini mwenye kuheshimu uhuru wa mahakama.
Siku zote napenda kuheshimu maamuzi ya mahakama haki ni kipimo bora cha utawala wa JK.
Hongera Chadema hongera Lema.
Achaneni na huu uzi wa kizushi, kamata hii makitu:-here are currently 864 users browsing this thread. (518 members and 346 guests)
Mkuu kwa akili yako unadhani members wote wa JF ni wafuasi wa Chadema.
Tumeshindaaaaaaa