Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Makamanda vipi leo JK ajaingilia hii kesi? Siku zote Rais wetu JK atabaki kuwa Rais makini mwenye kuheshimu uhuru wa mahakama.

Siku zote napenda kuheshimu maamuzi ya mahakama haki ni kipimo bora cha utawala wa JK.

Hongera Chadema hongera Lema.
HE! Ni wewe, you are so realistic today. ila sio Lama ni Lema - Mbunge wetu wa Arusha.
 
Mkuu kwa akili yako unadhani members wote wa JF ni wafuasi wa Chadema.

Pengine wewe kwa akili yako unadhani wote waliokuwepo mahakamani ni wafuasi wa CHADEMA?
 
Nadhani hii habari ni zawadi tosha ya X-mass na mwaka mpya kwa wapenda mabadiliko wa Arusha na Tz kwa ujumla.
Hongera kamanda G. Lema.
 
Tupatie matukio katika picha mkuu......Tuone shangwe na nyuso za furaha za makamanda.
 
Makamanda vipi leo JK ajaingilia hii kesi? Siku zote Rais wetu JK atabaki kuwa Rais makini mwenye kuheshimu uhuru wa mahakama.

Siku zote napenda kuheshimu maamuzi ya mahakama haki ni kipimo bora cha utawala wa JK.

Hongera Chadema hongera Lema.

Hongera na wewe kwakuwa muungwana..... na kuandika vizuri.
 
WaO Wana pesa sisi tuna Mungu piiiiiiiiiipoooooooozzzzz...........poweeeeeeeeeeeeeeeeeerrr.....Yaani sijui leo huku SAUT MZA Ni FURAHA GANI LEO
 
Mbona mapema hivo makamanda wangu hiyo mahakama imeanz saa ngapi tena? Jamani tusirushane roho tu!!!!!
 
wakuu nashindwa kueliwa tumeshindaaa? maana uzi unasema lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake...
 
Hongera kamanda LEMA hongera CDM.Mungu yupo pamoja nasi.
 
Tulianza na Mungu,tuko na Mungu na tutamaliza na Mungu,[NIKO AMBAYE NIKO LAZIMA AJULIKANE] Hongera kamanda LEMA,tupo pamoja.

Leo ni maagizo ya nani? maana alipovuliwa ubunge ilikuwa maagizo ya IKULU....bila ya kuwa mnafiki na mpika majungu huwezi kuwa mwana CHADEMA
 
Back
Top Bottom