LEMA alishashidwa kesi mjiandae na uchaguzi Arusha.
lema alishashidwa kesi mjiandae na uchaguzi arusha.
Jamani hiyo ni LIVE ya aina gani mbona hakuna update yoyote hata kutuambia kuwa kesi imeisha anza?
safi mkuu pamoja tushikamanenipo mahakamani hapa watu wengi sana nimekosa nafasi niko nje sitaweza kureport kazi kwa ndugu yeriko
Azima kifaa cha kurekodia kwa Saa Nane!- Mtanisamehe sitaripoti kila kinachotamkwa na msoma hukumu, naripoti yale muhimu tu, mfano vifungu vinavyo muingiza au kumtoa mrufani na hitimisho la mahakama tu!,
updates huzioni mkuu?mkuu majaji bado tu hawajaingia?
LEMA alishashidwa kesi mjiandae na uchaguzi Arusha.
Askari wa mahakama wamsachi vizuri Ben Saanane anaweza akawa amebeba Kuber special.
Namtamani mkeo!!!
Tumeshindaaaaaaa
mfuatilie yeriko hapo top kabisa mwa page, ameripoti haya hapa down;
more updates:
- tumeamriwa kuzima simu zote, sasa majaji wanaingia,
- kwanza hukumu inaanza kusomwa!
- kwanza inasomwa historia ya kesi hii, tukio kwa tukio
updates:
Mtanisamehe sitaripoti kila kinachotamkwa na msoma hukumu, naripoti yale muhimu tu, mfano vifungu vinavyo muingiza au kumto mtuhumiwa na hitimisho la mahakkama tu!,