Ingekuwaje hawa watu wote wangeenda mahakamani?
Pigo lingine hili kwa Zitto na vijana wake wa MASALIA...
KUDOS LEMA, naomba ukirudi bungeni January anza na lile FILE lililowekwa kiporo la Pinda kudanganya maana najua PM leo usingizi utamjia kwa nguvu ya viroba tu.
JEMBE JEMBE JEMBE JEMBE..... PIPOOOOOOOOOOOOOOOZ
opposite na njia inayoshuka sombetini, ile barabara inayoenda matejoo, mita 200 toka barabaran.Soko Mjinga kaka
maandamano bila kibali; polisi kupiga risasi; watu kufarikiIngekuwaje hawa watu wote wangeenda mahakamani?