Huwezi kufurahi kuwa umefika baada ya ndege kuruka ila unasema umefika baada ya ndege kutua na kushuka, tusifurahi kwa kuambiwa udhalilishaji haukuadhiri uchaguzi maana lolote laweza tokea
Pigo lingine hili kwa Zitto na vijana wake wa MASALIA...
KUDOS LEMA, naomba ukirudi bungeni January anza na lile FILE lililowekwa kiporo la Pinda kudanganya maana najua PM leo usingizi utamjia kwa nguvu ya viroba tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.